Recent content by nyonisalum

  1. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

    Ulikosa kaz ya kufanya unaamua udanganye kua n tafit umefanyaa jaamaa hapo umezingua 100%
  2. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Ni hela ipi ndo imekuwa ngumu?

    Sio tu hela imekuangum n kwamba kipato hakikidh mahtajii
  3. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika

    Achaa kumaliza vbayaa ndgu wana hoja za msingi hao kwan hufatili bunge jombi
  4. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika

    Achaa kumaliza vbayaa ndgu wana hoja za msingi hao kwan hufatili bunge jombi
  5. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aitwa tena Jeshi la Polisi, ni kuhusu kauli yake ya jana Kisutu

    Habarin...wootee tujifunze hapaaa tuache uchamaa na ushabik usio na maaanaa nyinyi mshakuwa wakubwa tumien fikra jmn ....viva Lisu Viva
  6. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Ww ni mmoja wapo uliesoma kchwa cha habar af ukakimbilia kucomment daah shidddaaah..!! Read btn lines
  7. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Naamn wapo ambao haawajasoma maneno ya Mh Lissu na pengine hawajaelewwa maana vchwa n vzito...Mh yu sahihi na hana chuki na serikali bali anataka ku shape serkali ukisoma kwenyee vyombo vnavyo control serikali "Politica Part" ni moja wapo so anahaki kisheria kuikosoa . WATANZANIA TUWE WAELEWA
  8. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yapiga marufuku Mameya kuhudhuria mikutano ya viongozi

    Umeanza vzur unamaliza vbayaa...amin kila jambo linasaababu na uskae ukamdharau haata mwenyekit wa mtaa utakua umedharau serkali b care ktk uandishi
  9. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Lissu: Urais umemshinda Magufuli

    Habar Jf mm naona tusihukum mapemaa kwan ndio kwanza kazi imeanza kwa jpm..chamsing ni ashauriwe aachiee demokrasia na ashirkiane na stakeholdrs wengiine ktk kuleta maendeleo ya taifa...Mungu ibarki Tanzania
  10. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Sio maana hyoo. Jmn bajet inaanza ktekelezwa hvi karbunii dat y nkasema hayo
  11. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Lissu: Tunanyanyaswa Bungeni, tukitaka kuzungumza tunakatazwa, tukibisha tunakabiliwa na Polisi

    Tuache uchama na tuangalie maslah ya nchi mh. Amezungumza maneno ya maana sanaa "We need Democracy" nchi iende mbele kimaendeleo
  12. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Kuhus mishahara..Kwan Nchi ipo kwenye hali mbayaa..seriikali ndo imptisha bajet
  13. nyonisalum

    JamiiForums Tanzania Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Habar...Naomba tuwe wavumilivu
Back
Top Bottom