Ili uelewe kilicholengwa kwenye waraka lazima uwe na uelewa wa hesabu za siasa............kwenye siasa, moja jumlisha moja sio mbili (1+1 = ?); inaweza hata kuwa saba (1+1=7) ilimradi tu uwe na uwezo wa kutetea hoja ya kwanini unasema saba.
Angalau huyu kawa mkweli.........................kwaiyo akiharibu "he is excused" lawama kwa mamlaka ya uteuzi kwa mpa mtu kazi bila ya kumfanyia vetting.
Kwa ufupi tu.! Hakuna aliyekuwa anajua kuwa initial draft ilikuwa ipo tayari. mpaka hapo Barrick walipo weka wazi nyaraka zao. Tatizo linaanzia hapo........kwann hatukuambiwa mapema; yani mwezi mei (5) watu wamejichimia kimya. Alafu leo mnakuja kupiga porojo humu kwa hisani ya Barrick, hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.