Julai mosi, 2025 bajeti ya mwaka 2025/2026 ilipitishwa na Bunge letu; moja ya mambo yaliyopitiwa ni kuondole kwa ushuru wa ongezeko la thamani (VAT) Kwenye gesi za kupikia (LPG); kusudi lilikua kuhamasisha matumizi ya gesi badala ya nishati kama kuni na mkaa, kama njia ya kupunguza uharibifu wa...
Ndugu! Wewe unafikiri huwa tunaenda kulala tukiwa na splashes za maji ya mabanda ya kuku na nguruwe tuliyoouwa tukisafisha? It's obvious kuwa shughuli za siku zikiisha tunajiweka sawa. Lakini huku kujiweka sawa sio kwa mitoko aisee. Ni kutupia home suitable attire tu zinazokupa comfort...
Tigo ni wezi wezi hivi. Tarehe 16 December'23 nimefanya muamala wa manunuzi ya muda wa hewani kupitia TigoPesa, wakachukua Hela lakini kifurushi nilicholipia sijakipata mpaka muda huu. Siku iliyofuata nikapiga simu Customer care service, nikaambiwa nisubiri litakapotimia saa la 24 toka...
Wanajamvi! Ni karibu week sasa nimekutana na haka ka-wizi kutoka Tigo, wenda wengine pia mmekutana nao.
Jumamosi ya tarehe 16, December 2023. around saa 2100HRs, Nilinunua kifurushi na kuamua kulipa kwa njia ya TigoPesa, wakata kiasi Cha fedha sawa na kifurushi nilichohitaji kununua; Lakini...
Kwanza Makanisa hayafanyi miujiza. Pili! Unajuaje kuwa wanatumia uchawi, unaweza kithibitisha? Tatu! "masikini wa kutupwa" anatoa wapi mamilioni ya kukamuliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.