Recent content by NYEREGENDA

  1. N

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    We acha tu hii ni misukule iliyokuwa imefungia na ccm miaka 54 sasa ipo huru wacha imuingize ikulu we tafuta jembe uje tuanze kilimo mashetani yamefungulia misukule yao sasa
  2. N

    Lowasa kishapata wadhamini milioni 2.6mikoa 26

    Mpaka saa hii wamemdhamini watu 2.6 na watu maarufu wafuatao wamemdhamini huku zanzibar yumo moyo bilal seif na kule bara yumo nchimbi apson kingunge
  3. N

    Kashfa nyingine ya Mbowe: Kumbe Juma Duni Haji hajakabidhiwa kadi ya CHADEMA

    Hot lady ni dada yupo kitengo anajua yule hajapewa kadi kwa kuwa duni haji ni naibu waziri smz na angepoteza mafao ya uwaziri palepale mlimani city na angerudi zanzibar kwa kupiga mbizi
  4. N

    Mama Tanzania (Mbatia) naye ana trademark yake

    anamwiga mwalukuvi wa isimani kubinjua midomo
  5. N

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Baada ya papa profesa msola kujaribu kufunga goli la mkono uwanja wa nyumbani beki 2 mstaafu mwamoto akaamua kudaka mpira uwanjani refa akaamua mechi ianze upya na papa profesa msola akabwagwa vikali mashabiki wamempongeza papa msola kucheza kisasa zaidi ya taaluma yake kumzidi beki 2 mstaafu...
  6. N

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    sadrudin sechadina kura 68,302 dr msigwa kura 42,500 mwakalebela kura 24,502 dr mahiga kura 7,303 jesca msavatangu kura 2,015 ado mwasongwe kura 1015
  7. N

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Yaani ulichofanya mbowe ni kitu hatari kwa maisha ya watanzania wenza hiyo chadema tulianza nayo pale motel agip siku ile mkwe wako anatarajia kuanzisha chama na tulinusurika kukamatwa mungu akawa nasi wewe nakumbuka nilisikia tu upo umoja wa vijana wa chadema leo unajifanya chama kama chako...
  8. N

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Sisi huku kijijini ukiona mtoto anaetambaa anachezea mtwangio wa kutwangia mahindi kwenye kinu huwa mzazi analia kuliko hata mtoto akikutwa kashika nyoka kwani mtwangio uliosimama huwa unakawaida kuangikia kichwani na kuuwa mtoto lakini sio kila nyoka inauma
  9. N

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Mbowe umetuua na mtei ungemshauri mkweo akurudushie chama tungekupa chenji ya ruzuku yote bila kubisha ya mpaka oktoba 25
  10. N

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Mbowe amechukia membe kisa alisema nchi haiwezi ongozwa na dj katika kipindi cha dakika 45 alipokuwa anasema mambo ya madagaska
  11. N

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Yaani mbowe amemwonea sana slaa angeacha huyu jamaa afie ccm kama walituacha sie tunanusurika kuuwawa na green party kisa kuwaambia waache wizi
  12. N

    Bvr machine yawakutanisha dc makonda ,kingunge ngombale mwiru na jaji mstaafu warioba saa hii

    Tupo kwenye foleni ya kuandikisha wapiga kura tupo na kingunge ,makonda na warioba wote wamenuna hakuna hata anaeopokea simu ikiita
  13. N

    Kigunge Ngombale Mwiru,Makonda na Warioba tuko nao kwenye foleni ya kuandikisha BVR saa hii

    Nipo kituo cha kuandikisha BVR na tupo na Kingunge Ngombare Mwiru Mkuu wa Wilaya Makonda na Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba wamenuniana hawajasalimiana na wamefatana namba bila kujijua.
  14. N

    "Value for money": ITV na Redio One rudieni matangazo mkutano wa CHADEMA

    Huyo aliekula hela ya matangazo mtutajie jina lake na amewatia hasara kiasi gani ili tuone umakini wa kuongoza nchi mkishindwa tunawakata
  15. N

    C c m yapokea wanachama wapya 450 kutoka chama cha tasaf 3

    Katika kuonyesha wapiga kura hawajitambui ni kina nani wanachama 45o wa tasaf 3 wamejiunga na c c m leo na kusema hawampigii kura tena tasaf 3 mpaka kieleweke
Back
Top Bottom