Recent content by Nyegere

  1. Nyegere

    Mwalimu Nyerere kwanini alichagua Twiga? Ni Mnyama dhaifu sana!

    Mkuu mng'ato ... naona unanipendekeza niwe nembo ya Taifa! .... unajua balaa letu lakini sisi kina Honey Badger aka nyegere?
  2. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Rweye
  3. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Mkuu Zamaulid ...nimeshajibu hili swali ninapopatikana ... ref post https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/834843-picha-nyegere-2.html#post12429555
  4. Nyegere

    Picha: Nyegere

    video ITV Pata habari juu ya familia ilivyoshambuliwa na Nyegere (TV) .. though ITV wamekosea jina la huyu jamaa cc: nifah .Jast Bleiz.Mungo Park.Gogo la choo.MO11.Earthmover.
  5. Nyegere

    Picha: Nyegere

    nifah .... Kwa Tanzania hupatika zaidi Kanda ya kaskazini hasa sehemu za Milima ya Kamwala wilayani Mwanga-Kilimanjaro. Pia hupatikana kanda ya ziwa Mara-Musoma,Bunda na Srengeti Mwanza- Sehemu za Sumve na Misungwi. Kuna aina mbalimbali za Nyegere, katkaka mazingira yetu aina mbili ndizo...
  6. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Yees! ... ndio mimi! .. Nyegere aka The Honey Badger - Mellivora capensis! ... U r welcome
  7. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Ila mimi nipo siku nyingi tu .. karibu ndo mwanzo wa kumfahamu Nyegere as they say JF ni kisima cha maarifa maana sasa utaweza kufuatilia links & sources nyingi ili kumfahamu zaidi huyu kiumbe
  8. Nyegere

    Picha: Nyegere

  9. Nyegere

    Picha: Nyegere

    The world's most fearless creature is the Honey Badger, according to the Guinness Book of World Records Link: The World's Most Fearless Creature is the Honey Badger
  10. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Naam kwenye upande wa kutu fearless hilo ni kweli kabisa ... umenipatia maana siogopi mnyama yeyote yule!
  11. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Tafadhali ndugu naomba tusiharibiane majina na kupeana sifa mbaya! ... teh! teh! teh!
  12. Nyegere

    Picha: Nyegere

    Mnanitafutia nini?! ... mimi nimetulia zangu
Back
Top Bottom