uvccm nendeni mikoani mkajionee hao viongozi wenu wanavyohangaika kujaza watoto wa shule kwenye mikutano yao tena kwa lazima ya walimu wao,ccm imekataliwa kwa kiwango cha juu, mumebaki kuchafua watu kwenye mitandao hamtakinusulu chama chenu.mbinu mnayotumia ni ya kitoto,jiangalieni kama...
kukimbilia mahakani c dawa.dawa ni kutuambia watanzania ukweli mambo.kwani mitandao ipo tutakwenda kwenye mitando kujua ukweli make tarehe na saa na mahali tukio lilifanyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.