Radio station ni Kyela fm radio,inapatikana kwa masafa ya 96.1 MHz kyela,mbeya.
Kwenye mtandao ya kijamii;
👉🏿TikTok ni Kyelafmradio
👉🏿 Facebook ni Kyelafmradio
Sijui social media accounts za presenter kwasababu nimemjulia humo kwenye platform za kituo chake Cha kazi
Kwa bahati nzuri media zote nilizotaja zinasikika Tanzania nzima kuliko hyo kyela,kwahyo kwa advantage ya Binti na watu wa kyela naona kupewa nafasi ya kufanya kazi kwenye media za dar es salaam zinamfaa
Habarini watanzania wote mnaopenda burudani ya kusikiliza au kutazama presenters wenye vipaji na uwezo kupitia media mbalimbali.
Nimekuwa nikimsikiliza na kumtazama mwanadada mmoja yupo kyela fm ya kyela,mkoani mbeya katika KIPINDI chake kinaitwa afternoon lounge kama sijakosea.
Yule dada kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.