Recent content by Nyarupala

  1. Nyarupala

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Samahani,wale wa msata walioenda mwaka Jana wanamalizia lini?
  2. Nyarupala

    GE2025 Mpina kwiiiiisha, atakiwa kutorudisha fomu ya kugombea Urais

    Sasa alipewaje fomu ya kugombea wakati muda wa kuchukua ulikuwa umeisha?
  3. Nyarupala

    Hivi unajua million 1.97 ya Tanzania ni sawa na laki 1 ya Kenya

    Hivi unajua Vietnam ni moja ya nchi Tano duniani zenye pesa yenye thamani ndogo kuliko hata hyo Kenya na Tanzania? Lakini unaweza kufananisha uchumi wa Vietnam na Kenya au Tanzania?
  4. Nyarupala

    Mfahamu nyoka wa kipekee anaefanana na uume wa mtu

    Wale wanaosema wanaume vibamia huyu anawafaa maana si akiingia anaenda non stop mpaka aguse kizazi kabisa?
  5. Nyarupala

    Jaji Mkuu Masaju: Mishahara ya Majaji ni duni sana, hawana fursa kama mihimili mingine ya dola

    Hii tabia ya kila mshahara kiduchu kulinganishwa na mshahara wa Mwalimu sipendi kabisa.
  6. Nyarupala

    DOKEZO Dodoma kuna mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha au ni upepo tu?

    Mwaka 2019 nilikuwa kongwa Kijiji Cha hembahemba,maji wanatumia ya kwenye madimbwi yatokanayo na mvua. Yale maji yana rangi nyekundu kabisa kiasi kwamba kabla hujayatumia ukiwaza tu kuumwa tumbo unaumwa kweli. Nadhani kwako ni Ile hofu ya rafkiako kuumwa ila hakuna shida hyo Dodoma
  7. Nyarupala

    Samia apewe Tuzo kwa ukimya dhidi ya Polepole na Gwajima

    Uko sahihi lakini Rais wetu Hana kiburi
  8. Nyarupala

    Jana limetokea tukio la ugomvi wa dereva na mwanamke kwenye mwendokasi wameshikana mashati

    Umesharudi vizuri ila sijategemea hili tusi kutoka kwako😀😀😀
  9. Nyarupala

    Huyu Oscar Oscar inakuwaje watu wanamshangilia kwa upumbavu anaoandika mtandaoni? na kumpa matangazo?

    Mimi kama mhehe nilianza kumdharau huyu jamaa baada hili chapisho lake...
Back
Top Bottom