Recent content by Nyarupala

  1. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya: Namtumbo mkoani Ruvuma hatujalipwa Pesa ya kujikimu

    Hivi kweli yaani Kuna mtu ana miaka 6 mtaani Jana ajira sijui yeye asemeje. Kama unadhani hyo pesa itakusaidia sana kwakweli utachelewa.
  2. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Ajira ya Mwaka 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi hatujathibitishwa na hatujalipwa

    Yaani ww unalalamika kithibitishwa na ukute hata mdhibiti ubora hajawahi kuja kukukagua au Ukute ulishathibitishwa bila kujua kwa kusubiri barua,jaribu kuangalia kwenye profile Yako ya PEPMISS
  3. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ajira Mpya (Walimu) Temeke tuliwekewa Laki 9, tukaambiwa ni nauli, sasa hivi wanatuambia turudishe

    Ulishawahi kutumiwa pesa na mtu unayemfahamu halafu muda huohuo wale wahuni wa "tuma kwa namba hii" wakakupigia kwamba urudishe pesa na kwamba imekuja kwako kimakosa?
  4. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wambulu wa Tanzania hawawezi kukimbia kama wenzao wa Ethiopia?

    Filibeti bayi ni babu Yako?😅😅😅
  5. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Samahani,wale wa msata walioenda mwaka Jana wanamalizia lini?
  6. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina kwiiiiisha, atakiwa kutorudisha fomu ya kugombea Urais

    Sasa alipewaje fomu ya kugombea wakati muda wa kuchukua ulikuwa umeisha?
  7. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Hivi unajua million 1.97 ya Tanzania ni sawa na laki 1 ya Kenya

    Hivi unajua Vietnam ni moja ya nchi Tano duniani zenye pesa yenye thamani ndogo kuliko hata hyo Kenya na Tanzania? Lakini unaweza kufananisha uchumi wa Vietnam na Kenya au Tanzania?
  8. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Mfahamu nyoka wa kipekee anaefanana na uume wa mtu

    Wale wanaosema wanaume vibamia huyu anawafaa maana si akiingia anaenda non stop mpaka aguse kizazi kabisa?
  9. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju: Mishahara ya Majaji ni duni sana, hawana fursa kama mihimili mingine ya dola

    Hii tabia ya kila mshahara kiduchu kulinganishwa na mshahara wa Mwalimu sipendi kabisa.
  10. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Dodoma kuna mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha au ni upepo tu?

    Mwaka 2019 nilikuwa kongwa Kijiji Cha hembahemba,maji wanatumia ya kwenye madimbwi yatokanayo na mvua. Yale maji yana rangi nyekundu kabisa kiasi kwamba kabla hujayatumia ukiwaza tu kuumwa tumbo unaumwa kweli. Nadhani kwako ni Ile hofu ya rafkiako kuumwa ila hakuna shida hyo Dodoma
  11. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Samia apewe Tuzo kwa ukimya dhidi ya Polepole na Gwajima

    Uko sahihi lakini Rais wetu Hana kiburi
  12. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Naona kama upo Afrika na ukawa Introvert ni changamoto sana

    Ni ustaarabu
  13. Nyarupala

    JamiiForums Tanzania Jana limetokea tukio la ugomvi wa dereva na mwanamke kwenye mwendokasi wameshikana mashati

    Umesharudi vizuri ila sijategemea hili tusi kutoka kwako😀😀😀
Back
Top Bottom