Hivi unajua Vietnam ni moja ya nchi Tano duniani zenye pesa yenye thamani ndogo kuliko hata hyo Kenya na Tanzania? Lakini unaweza kufananisha uchumi wa Vietnam na Kenya au Tanzania?
Mwaka 2019 nilikuwa kongwa Kijiji Cha hembahemba,maji wanatumia ya kwenye madimbwi yatokanayo na mvua.
Yale maji yana rangi nyekundu kabisa kiasi kwamba kabla hujayatumia ukiwaza tu kuumwa tumbo unaumwa kweli. Nadhani kwako ni Ile hofu ya rafkiako kuumwa ila hakuna shida hyo Dodoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.