Recent content by nyanya ntore

  1. N

    Wanawake wengi wamekuwa limbukeni wa social networks - pia baadhi ya wanaume

    Watu wanawaza kusaka pesa wengine mnawaza jinsi ya kuongeza hizo social networks zenu! nasema ni ulimbukeni kwani walozigundua hawajishughulishi nazo badala yake wako bize kugundua vingine! u can't be serious you African and Tanzanian people
  2. N

    Waifu ananitegea!

    Da! I wish u 2be my wyf yaan mpaka bac
  3. N

    Naombeni msaada wenu

    hakuna ajuaye ni dini au dhehebu gani li sahihi ila yote yanamwabudu mungu aliye mbinguni
  4. N

    Tanzia: JF tumempoteza Member mwenzetu K007

    wasalimie ngwea, kanumba na sharp millionaire, wambie tumewamic
  5. N

    For the lazy ass dudes

    mwanamme sifa pumzi, sio unapiga kimoja hoi, mijasho tere. Wanaume tubadilike tuamke mapema na tuhudhurie gym mitumbo yetu itakaa sawa
  6. N

    hodihodi jf

    Ndugu zangu wa jukwaa hili mu wazma? Mimi ni mgeni ktk jukwaa hili, ila kwa mda mrefu nmekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa threads zinazoletwa hapa jukwaani. Hivyo nmevutiwa na jinsi wadau wanavyopambanua mambo, hivyo naombeni ukaribisho wenu nawasilisha!
Back
Top Bottom