Mm piaa nmeshangaa !!! 2.5 M take home Iwe 1M. nnefanya hesabu makato yoye hyaziidi Laki 8. ( PAYEE, NSSF , WCF, NHIF ) htaa ukiweka makato ya loan board
GOMSI ina watu wengiii!!! ukichukulia wanaotumia hii nyerere road kutoka posta mpka chanika ina michepuo ambayo ina wakazi wengi.
kuna njia panda segerea watu wa kinyerez, kuna banana watu wa kitunda, kuna mazizinii, majohe , pugu , kisarawe , chanika. watu mbagala mbande wegine hupitia...
katika upuuzi ambao si huweki akilini ni huu....sijui nikifka miaka hii nifanye hiki , lazima niwe na hiki sijui kazi . naacha vitu vifanyike vile Mungu anapenda , muhimu naweka juhudi tu na nidhamu ya kile nachokifanya kwa wakati huo.
Ali hapi ni mtu na kupenda kuonekana namfaham kabla hajawa mwenykiti CCM vijana . hyo ni personality yake. toka kipindi yupo DC, RC alikuwa anajishughulisha na kilimo .
Wivuu huzaa chuki na roho mbayaa, kijana mwenzio anajituma kwenye kilimo, na jembe halimizi mtuu.... ww unaanza kujifananisha na ww ulijifanya mganga .
Alaf hapi familia yao sio pangu pakavu na watoto wake wote wanasoma feza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.