mwanadamu anaamini katika kiburi ila Mungu anakomesha kiburi huyu marehemu wakati mwili wake unashushwa pale hospitari ya uhuru na maelezo niliyoyapata kwa watu waliomleta na mazingira ya kifo chake nimezidi kumuheshimu Mungu kuliko jana na leo
nilishuhudia kuna muhuni alitoka na waleti ya marehemu ndani ya chumba pale uhuru hospitari chamwino akidai jirani yake nikasema saafi sana Mungu ilikuwa imetuna mpunga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.