kwanza kyumamake huyo marabu,ilko hivi mwaka jana kwenye kura za maoni jimbo la chamwino kuna mwana aliambiwa hivi na DEO akaushe mpaka 2030,atamuachia jimbo yeye DEO ataenda kugombea zenj hiyo shahidi masikio yangu,ni hayo tu🙏🙏🙏🙏
mwanadamu anaamini katika kiburi ila Mungu anakomesha kiburi huyu marehemu wakati mwili wake unashushwa pale hospitari ya uhuru na maelezo niliyoyapata kwa watu waliomleta na mazingira ya kifo chake nimezidi kumuheshimu Mungu kuliko jana na leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.