Jana ilikuwa siku ya kipekee ndani ya viunga vya jiji la Mbeya husasan waathirika wa janga la moto kwa wafanyabiashara wa soko la Sido, mh Dr Tulia Akson ,naibu spika wa JMT alipopokelewa kwa upendo mkubwa sana na wana Mbeya na hii ikaleta hisia kwamba pengine hii ni ishara kwa mh Sugu kuanza...
Ni furaha kwa wazee wastaafu Wilaya ya Same kuzindua rasmi umoja wao.
Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Wilaya ya Same ambapo Mkuu wa Wilaya ya Same Mh. Rosemaey Senyamule alikuwa ni mgeni Rasmi.
Lengo la umoja ni pamoja Na kushirikishana fursa Na kutatua matatizo...
TAARIFA YA NDUGU MOHAMEDI IKBAL KWA VYOMBO VYA HABARI, KUHUSU UFAFANUZI WA UMILIKI WA ENEO LA EKARI 3500 LILILOPO LINGATO, KISARAWE II, KIGAMBONI-DSM
Ndugu wana habari,
Nimewaiteni hapa kufuatia taarifa iliyotolewa na Waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya Makazi, mnamo tarehe 27, Februari...
Kumekuwa na sauti nyingi sana kutoka kwa jamii na kelele la wimbi la kununua vyeti,kutumia majina ambayo sio yao.
Leo tuanze kwa kutaja jina la halisi la kiongozi na jina ambalo amenunua au kutumia ambalo si lake.
Mfano Daudi Bashite jina halisi, analotumia ni Dereva kondakta nk ,tuwekeeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.