Recent content by Nyani Mzungu

  1. Nyani Mzungu

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Huyo kasinia alikuwa mshamba Tu anakuja kufagia Kwa Eddy Mpenda ili aangalie movie bure ndo maana nakwambia hao vijana wa musoma ni malimbukeni huyo kasinia hapo majitaroad alikuwa boya Tu mwili wenyewe kama njiti ya kiberiti aani kajamaa kalikuwa na afya mgogoro Sana may be ata kalishakufa...
  2. Nyani Mzungu

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela...
  3. Nyani Mzungu

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Sehemu yenye vijana washamba na magrup yao ya kishamba kishamba .aani hawa vijana wa musoma wao wanaona mabifu ndiyo ujanja machoko sana
  4. Nyani Mzungu

    Afisa Utumishi Manispaa ya Musoma amejawa kiburi, jeuri na dharau

    Huwezi kuwa wewe Yule jamaa ni mshamba Sana aani linajiona na kujiskia Sana limefuga kitambi tu ka kunguni wa kisasa. Jamaa Lina macho makali Sana aani Yale ya paramagamba kabudi unayaweka pamoja ndo jicho lake moja. Jamaa linapenda Sana mademu wakali usiombe ukaongozana na demu kuingia...
  5. Nyani Mzungu

    Afisa Utumishi Manispaa ya Musoma amejawa kiburi, jeuri na dharau

    Yule jeuri Sana Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  6. Nyani Mzungu

    Afisa Utumishi Manispaa ya Musoma amejawa kiburi, jeuri na dharau

    Retweet ifike mbali kumbe unamjua Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  7. Nyani Mzungu

    Afisa Utumishi Manispaa ya Musoma amejawa kiburi, jeuri na dharau

    Huyu jamaa amekuwa Mungu mtu manispaa ya Musoma Mjini. Anaweza toka ofisini na akakuacha umekaa kwenye benchi bila kukuhudumia. Sijui anajivunia nini huyu mtu ananyanyasa sana watumishi. Wahusika mchukulieni hatua huyu mtu anaitwa Devi afisa Utumishi ofisi namba 1 Musoma Manispaa. Tatizo.
  8. Nyani Mzungu

    Msaada Freezer Nzuri ya kununua na bei yake

    Upo wapi Kwanza maana unaweza kuwa Mbali usafiri ikawa shida
  9. Nyani Mzungu

    Msaada Freezer Nzuri ya kununua na bei yake

    Hakuna freezer la laki 7 au 6 nzuri
  10. Nyani Mzungu

    Msaada Freezer Nzuri ya kununua na bei yake

    Wadau nataka kuanza biashara ya samaki nahitaji freezer kubwa itakayonisaidia.
  11. Nyani Mzungu

    Ubunge Viti Maalum: Je, CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF wataapata wangapi?

    Vipi kuhusu mitandao ya kijamii imerejea hewani Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  12. Nyani Mzungu

    Ubunge Viti Maalum: Je, CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF wataapata wangapi?

    Kwani mmesharidhia matokeo bongo bhana Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  13. Nyani Mzungu

    Songwe: Ahukumiwa jela miaka mitatu kwa kumtukana Rais Magufuli

    Kwani kamtukanaje mbona mnafokeana Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  14. Nyani Mzungu

    Don Nalimison nimerudisha Kitambulisho Cha Taifa la Tanzania(NIDA) kuanzia sasa sina Kitambulisho cha Uraia wa Tanzania

    Kurudisha kitambulisho cha Taifa huku Ukiwa bado umekalia ardhi ya Tanzania huo ni Uhaini. Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
  15. Nyani Mzungu

    Ajira za Utendaji Mpanda interview wameripoti watu 800. Wanahitajika 16

    Poleni watanzania wenzangu. Mliopo hapo muda huu mkifanya mtihani wa kuwania nafasi 16. Nimehuzunika sana kama Kijana kuwaona wadogo zangu ,kaka zangu na wengine wananizidi umri wakipangwa makundi makundi katika kufanya mtihani wa mchujo kuwania nafasi 16 za utendaji. Uchumi wa Kati Inauma...
Back
Top Bottom