Huyo kasinia alikuwa mshamba Tu anakuja kufagia Kwa Eddy Mpenda ili aangalie movie bure ndo maana nakwambia hao vijana wa musoma ni malimbukeni huyo kasinia hapo majitaroad alikuwa boya Tu mwili wenyewe kama njiti ya kiberiti aani kajamaa kalikuwa na afya mgogoro Sana may be ata kalishakufa...
Washamba tu hakuna hata sehemu moja yenye wajanja hyo wilaya mitaa yote kamnyonge,mwisenge,Nyamatare,nyasho,Biafra,iringo,mkendo, pote sijaona wajanja vijana wa hapo musoma wengi wao ni watoto wa mama jitu linalelewa home miaka nenda rudi,hamjitumi kutafta Mali vijana wajanja na wenye hela...
Huwezi kuwa wewe Yule jamaa ni mshamba Sana aani linajiona na kujiskia Sana limefuga kitambi tu ka kunguni wa kisasa.
Jamaa Lina macho makali Sana aani Yale ya paramagamba kabudi unayaweka pamoja ndo jicho lake moja.
Jamaa linapenda Sana mademu wakali usiombe ukaongozana na demu kuingia...
Huyu jamaa amekuwa Mungu mtu manispaa ya Musoma Mjini.
Anaweza toka ofisini na akakuacha umekaa kwenye benchi bila kukuhudumia.
Sijui anajivunia nini huyu mtu ananyanyasa sana watumishi.
Wahusika mchukulieni hatua huyu mtu anaitwa Devi afisa Utumishi ofisi namba 1 Musoma Manispaa.
Tatizo.
Poleni watanzania wenzangu.
Mliopo hapo muda huu mkifanya mtihani wa kuwania nafasi 16.
Nimehuzunika sana kama Kijana kuwaona wadogo zangu ,kaka zangu na wengine wananizidi umri wakipangwa makundi makundi katika kufanya mtihani wa mchujo kuwania nafasi 16 za utendaji.
Uchumi wa Kati
Inauma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.