Recent content by Nyani Bishoo

  1. Nyani Bishoo

    Nahitaji kufanya biashara ya mbao

    Kumbe Sasa unatafuta tu kuajiriwaB bora ungefunguka moja kwa moja
  2. Nyani Bishoo

    Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

    Kama ulishawahi pigwa threesome hufai kuwa mke na nitamwambia jamaa Wewe si ulikuwaga Star wa kupigwa threesome na nitamwambia jamaa umenikumbusha vingi Sana kuhusu wewe
  3. Nyani Bishoo

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Hahahahaha lakini kweli hii ni hoja Fikirishi sana
  4. Nyani Bishoo

    Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

    Kumbe unahangaika na mtoto mwenzako haya endelea
  5. Nyani Bishoo

    PreGE2025 Picha: Nape Nnauye atua mtaani akiwa na nguo za kiraia huku akila ubwabwa na wananchi

    Hii mbona kawaida Sana wananchiwapiga kura wameshaanza kutongozwa
  6. Nyani Bishoo

    Je ni Haramu kwa Muislamu kusherehekea mwaka mpya kwa kuchinja, kula , kunywa na kufurahi? Je zipo aya ndani ya msahafu?

    Wewe Fanya yako furahia kikubwa Tenda yaliyo mwema, huvunji tu Amani ya Nchi na Sheria za Nchi na eneo husika hizi Dini tumeletewa tu na Wazungu na Waarabu..! Amka Africa
  7. Nyani Bishoo

    Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

    Acheni kumuonea wivu Lugumi mbona wengine wanatamba tu na Vi IST na hamsemi?
  8. Nyani Bishoo

    PreGE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

    Aisee Wabongo kwa kubadirika alivoingia Madarakani mkamsifia anademokrasia nzuri zaidi ya Mwendazake saivi Tena mmebadirika
  9. Nyani Bishoo

    Ulitumiaje nafasi yako ya ku-revenge kwa Ex aliyekufanyia Makusudi?

    Hahahaha Mkuu sio warangi ni wambulu Ila wamekulia Dar
  10. Nyani Bishoo

    Ulitumiaje nafasi yako ya ku-revenge kwa Ex aliyekufanyia Makusudi?

    Mimi X wangu aliniletea nyodo za kunioneshea na Bwanaake mpya nami nilichofanya nikawagonga wadogo zake wote wawili na picha nikamtumia Alipoziona hizo picha adi Leo DISH lilishayumba kudadadeki
  11. Nyani Bishoo

    Wanaume mnakera sana

    Mkiitwa ombaomba mnanuna
  12. Nyani Bishoo

    Kupatwa kwa jua Jumatatu 8 Aprili 2024

    Asantee Sana Mama SAMIA kwa kuwezesha jua likamatwe na Mwezi kwakweli unafanya kazi kubwa sana
  13. Nyani Bishoo

    Nape: Rais Samia alinikataza kujibizana na Watu Mitandaoni

    Hata sisi NGEDERE huku Porini nape huwa anatuboa Sana hata Miruzi yetu NGEDERE anatuonea wivu huku Porini
  14. Nyani Bishoo

    Nape: Rais Samia alinikataza kujibizana na Watu Mitandaoni

    Huu utabiri wangu acha tu nisiutoe Maana walia kulamba Miguu na Teuzi wataanza kulalama hapa
Back
Top Bottom