Niko Mwanza, kisesa, Igudija ......natafuta kazi yoyote ile ya halali, niwe nafanya nikiwa free maana nina kazi ingine ila mshahara haunitoshi, majukumu yananizidi na mwishowe nimekuwa na madeni ....
Natafuta kazi yoyote ile iwe ya kufua nguo, kumshikia mtu kuuza duka la dawa kwa siku ambazo...
Ila waja mna mambo.....yaani mtu kaugua muda mreeefu mpaka kakosa pesa akawa anaomba msaada.....KAFA kwa mateso....bado ulitaka ajenge....hebu mpumzishe....wewe kama Mungu kakujalia kujenga kwenu inatosha
Mapenzi hayashauriwi.....ila mpaka unaomba ushauri ni kwamba moyo wako na akili yako haisemi lugha moja....moyo wako unampenda huyo Bwana...na kwasababu amekuahidi anakwenda na kwenu (wanawake tunavyopenda ndoa) ndio unabaki njia panda kabisa...ila akili yako iko sahihi huyo sio mwanaume...kama...
Zamani nlikuwa Nadhani mwanaume akifika 30 anakuwa anajielewa ameshamaliza ujana na anajua Nini anataka....lkn kumbe sio kweli. Kuna watu Wana 30 and above na hawajui Nini wanataka Kama wewe.....Time will tell
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.