Recent content by NYANGETA1

  1. N

    Niko Mwanza, natafuta vibarua, kazi za halali za kulipwa kwa siku

    New Add bookmark #4 asante sana kwa ushauri....ila mimi ni mwanamke sio mwanaume
  2. N

    Niko Mwanza, natafuta vibarua, kazi za halali za kulipwa kwa siku

    asante sana kwa ushauri...wazazi niko nao na wananitegemea
  3. N

    Niko Mwanza, natafuta vibarua, kazi za halali za kulipwa kwa siku

    Niko Mwanza, kisesa, Igudija ......natafuta kazi yoyote ile ya halali, niwe nafanya nikiwa free maana nina kazi ingine ila mshahara haunitoshi, majukumu yananizidi na mwishowe nimekuwa na madeni .... Natafuta kazi yoyote ile iwe ya kufua nguo, kumshikia mtu kuuza duka la dawa kwa siku ambazo...
  4. N

    Carina alishindwaje kumjengea mama yake hata kibanda huko kivule mpaka leo familia nzima wanaishi nyumba za kupanga ?

    Ila waja mna mambo.....yaani mtu kaugua muda mreeefu mpaka kakosa pesa akawa anaomba msaada.....KAFA kwa mateso....bado ulitaka ajenge....hebu mpumzishe....wewe kama Mungu kakujalia kujenga kwenu inatosha
  5. N

    Mke wa mtu alivyoharibu ndoto zangu

    Hii story haijakamilika
  6. N

    UTI kali kwa mke wa mtu

    UTI sio sexual transmitted disease
  7. N

    Mchumba wangu aliachana na Mke kwa kulala na Mkwe wake

    Mapenzi hayashauriwi.....ila mpaka unaomba ushauri ni kwamba moyo wako na akili yako haisemi lugha moja....moyo wako unampenda huyo Bwana...na kwasababu amekuahidi anakwenda na kwenu (wanawake tunavyopenda ndoa) ndio unabaki njia panda kabisa...ila akili yako iko sahihi huyo sio mwanaume...kama...
  8. N

    Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

    Hiki kizazi hiki.....eti huyu atakuja kuwa mume wa mtu....na baba wa familia😭 eeh Mungu niepushie mwanaume wa aina hii
  9. N

    Nimeshushwa cheo hatimae nimewekwa friend zone, neno la faraja kwanu

    Zamani nlikuwa Nadhani mwanaume akifika 30 anakuwa anajielewa ameshamaliza ujana na anajua Nini anataka....lkn kumbe sio kweli. Kuna watu Wana 30 and above na hawajui Nini wanataka Kama wewe.....Time will tell
Back
Top Bottom