Waziri Mkuu Pinda akipata wakati mgumu baada ya kuzungukwa na wananchi na wana CCM waliotaka kumsalimia baada ya sherehe katika viwanja vya Maji Maji Songea
Ndugu wakuu, Kila nikitafakari wakati tulionao ambao taifa letu liko katika uchumi wa gesi, na sasa Kugunduliwa kwa mafuta, napata picha kuwa tunahitaji Rais makini katika kuamua mambo. Rais asiyekurupuka wala asiye na tamaa ya kujilimbikizia mali wala madaraka.
Tusipokuwa makini tutachagua...
Kufuatia habari za genge la msaka Urais kutoka kaskazini, mwenye nywele nyeupe kutajwa kumwaga mamilioni kusaka Urais, Askofu mkuu wa Kanisa KATOLIKI Muadhama Dr Policarp Pengo amewaasa watanzania kutochagua wanaomwaga mabilioni kusaka urais.
Katika hali inayoashiria kupwaya kwa nguvu zao kisiasa ndani ya CCM, baadhi ya vigogo wanaowania urais wamegalagazwa vibaya katika chaguzi za mitaa katika ngome zao.
Edward Lowassa mkoani kwake Arusha Chadema wamepata viti 75 kutoka 7 waliokuwa navyo, huku Membe, Wassira na Sitta wakipumulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.