Recent content by Nyanda21

  1. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Asante mkuu naweza pata contacts zahapo
  2. N

    Sufi zinapatikana wapi na gharama zikoje?

    Habari za muda huu wakuu.. Nmekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa wapi Sufi znapatikana na gharama zikoje Nina plan kuanza project ya kutengeneza mito. Karibuni kwa Mawazo mbarikiwe.
  3. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Asantr ntasubirii Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
  4. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Hizi shule ni kubahatisha mkuu si hua wana interview nikipata tu hata mawasiliano ya zote kama inawezekana ntashukuru sana. Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
  5. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Naeza kupata mawasiliano ya hapo mkuu Tafadhali. Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
  6. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Naeza pata mawasiliano ya hapo mkuu tafadhali Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
  7. N

    Natafuta shule nzuri za private wilayani kahama

    Habarini za muda huu wakuu. Nimekuja kwenu nahitaji msaada Nina wadogo zangu nawasomesha naulizia shule nzuri za private wilayani kahama mkoa wa shinyanga ambapo watapata elimu bora. Mbarikiwe
  8. N

    Tatizo la chunusi

    Habari za Jumapili wakuu, Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani amgepata kitu cha kumsaidia msichana wangu anauso wa mafuta kiasi ameshajaribu kutumia mpaka zile...
  9. N

    Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu

    Hapo nikwenuu sheria kwake chaaa. Mkienda kwake msikiss hahaaaahaa
  10. N

    Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

    Ivi kua wife material kumbe ni kuchapa tu kazi?
Back
Top Bottom