Recent content by nyanda2011

  1. N

    Tupunguze "kuisimanga" ATCL, haijengi zaidi ya kukatisha tamaa

    Asante kwa Maelezo mazuri Barafu. Hii ni shule tosha kwa tusiokuwa na uelewa na usafiri Wa Anga
  2. N

    Freeman Mbowe ahaha kuokoa Jahazi la CHADEMA Lisizame

    Hayo ni mawazo yako na mtazamo wako.
  3. N

    Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

    NI hatari sana kuongozwa na watu waroho wa madaraka kama zitto, si kwa chama tu bali hata kwa nchi pia. Chadema wanapaswa wamfukuze kabisa ili wawe salama.
  4. N

    Unafiki huu wa wanaharakati (CHADEMA), kiboko

    Nape, umefika wapi na kampeni yako ya kujivua gamba? tuambie mafanikio yako katika kampeni hiyo. Mangapi mmeyavua? huo nao ni unafiki
  5. N

    Kutoka Arusha: CCM waanza kuchochea udini wahanga wa BOMU mkutano wa CHADEMA

    siku siafu wakikasirika, kitaeleweka.
  6. N

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA - Arusha!

    Kila la kheri wapiganaji.
Back
Top Bottom