Recent content by nyamwenga

  1. N

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    log in ukitumia namba yako ya siri coz ID yako imeshaingia kwenye system ukiingia user mpya na account mpya kwa ID ileile lazima wakwambie imeshatumika. Wewe log in uweke password yako account yako itafunguka na fomu yako itafunguka utaendelea km kawaida.
  2. N

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    log in ukitumia namba yako ya siri coz ID yako imeshaingia kwenye system ukiingia user mpya na account mpya kwa ID ileile lazima wakwambie imeshatumika. Wewe log in uweke password yako account yako itafunguka na fomu yako itafunguka utaendelea km kawaida.
  3. N

    Wilayani Mbozi, Waalimu wachangishwa Tsh 3000/= ya mafuta ya Mwenge

    sisi tumeambiwa huku tuchangie 2000 ya mwenge, yaani baada ya kuliona tu hilo tangazo nilinunu vocha ya 2000 nikajiunga kifurushi cha wiki.
  4. N

    Anaefahamu zilipo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kilombero

    mkuu achana nae atakuumiza kichwa! Huyu haelewi hata kinachojadiliwa hapa!
  5. N

    Anaefahamu zilipo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kilombero

    ondoa shaka kwa hilo mkuu, kwan si kila msomalia ni alshabab.
  6. N

    Anaefahamu zilipo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kilombero

    mmmh mkuu usinisimulie stori za kutisha!
  7. N

    Anaefahamu zilipo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kilombero

    asante nitazingatia mwalimu mwenzangu!
  8. N

    Anaefahamu zilipo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kilombero

    sijasema kilombero ipo wapi nimesema wapi zilipo ofisi za halmashauri ya kilombero! Hunipi shida ila zaidi unaniongezea uzoefu kwani hii ndo aina ya wanafunzi nitakaokutana nao!
Back
Top Bottom