log in ukitumia namba yako ya siri coz ID yako imeshaingia kwenye system ukiingia user mpya na account mpya kwa ID ileile lazima wakwambie imeshatumika. Wewe log in uweke password yako account yako itafunguka na fomu yako itafunguka utaendelea km kawaida.
log in ukitumia namba yako ya siri coz ID yako imeshaingia kwenye system ukiingia user mpya na account mpya kwa ID ileile lazima wakwambie imeshatumika. Wewe log in uweke password yako account yako itafunguka na fomu yako itafunguka utaendelea km kawaida.
sijasema kilombero ipo wapi nimesema wapi zilipo ofisi za halmashauri ya kilombero! Hunipi shida ila zaidi unaniongezea uzoefu kwani hii ndo aina ya wanafunzi nitakaokutana nao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.