Recent content by Nyamwage

  1. Nyamwage

    TV gani hapo nichukue 50 inch 4K solarmax au 43 inch FHD Hisense

    Bei ziko sawa na zote ni smart
  2. Nyamwage

    Waya wa Display port unatoa picha kali kuliko waya wa HDMI

    Picha ya pili mpaka ya Tano ni display moja hiyo Dell ya kulia ikiwa katika HDMI na DP
  3. Nyamwage

    Waya wa Display port unatoa picha kali kuliko waya wa HDMI

    Picha ya pili mpaka ya Tano ni display moja hiyo Dell ya kulia ikiwa katika HDMI na DP
  4. Nyamwage

    GE2025 Hata kama maandamano ya 29/10 hayatafanikiwa, message itakuwa "sent"

    Naona umeamua kusimama upande wa mkeo
  5. Nyamwage

    GE2025 Hata kama maandamano ya 29/10 hayatafanikiwa, message itakuwa "sent"

    Uko sahihi mkuu jamaa wanamsukuma tope
  6. Nyamwage

    Hivi TV nchi 32 kushuka chini nayo ni ya kununulia Tv guard

    Swali lako mbona limekaa kihaya sana
  7. Nyamwage

    Waya wa Display port unatoa picha kali kuliko waya wa HDMI

    Kama sio mchunguzi na mdadisi huwezi kuelewa hizi picha hapa chini mwanzo nilidhani nimepigwa au kioo kibovu maana haiwezekani monitor ya mwaka 2011 Hp ya kushoto iizidi quality monitor ya mwaka 2022 Dell ya kulia
  8. Nyamwage

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Bora ujinunulie simu mwenyewe mwaya maana wanaonunuliwa wengi vishimo vya kutolea upepo vilishalegezwa
  9. Nyamwage

    Eti hii ishu Mwanaume kuweka picha yake kwenye screen saver Imeakaaje

    2010 mpaka 2012 ilikua freshi tu ila mpaka sasa kuna wasukuma wanaweka nyimbo kama miito ya simu ringtone
  10. Nyamwage

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Fikisha 700k ukamate A36 hauta jutia kwenye maisha yako labda uibiwe
  11. Nyamwage

    Akon akiwa na team nzima ya watoto wake. Usimuige kama wewe ndio wale wa kusema "matembele yakipikwa vizuri yanakuwa na ladha ya nyama"

    Kuna lofa mmoja aliniambia nazaa watoto wengi ili waje kunisaidia nilijiuliza kumbe kuzaa nako ni uwekezaji
  12. Nyamwage

    Hizi simu zinashida gani mbona bei kitonga sana

    Ulipo zishika ulihisi umeshika kitu premium au famba
Back
Top Bottom