Recent content by Nyamwage

  1. Nyamwage

    Nahitaji Graphics card

    Mashine yangu ni HP prodesk 600 g3 core i5-7400 nichekie hiyo PSU kama itatoshana
  2. Nyamwage

    Nahitaji Graphics card

    Nauliza je naweza nikaweka GPU yenye umbo kubwa kwenye desktop ya SFF hatakama mfuniko hautafunga je itakubali kufanya kazi
  3. Nyamwage

    Nahitaji Graphics card

    Habari zenu anaejua duka linalouza graphics card used anipe mawasiliano yao nahitaji ile yenye umbo dogo low profile mashine yangu ni SFF kuanzia GTX 1060 au RX 590
  4. Nyamwage

    Je hii mouse itaweza kufanya kazi kwenye laptop yangu

    Kinachonipa wasiwasi hapa naona wameorodhesha windows za kizamani tu nawakati dell yangu iko na windows 10
  5. Nyamwage

    Jinsi ya kupata marafiki wa kizungu

    Sehemu ya haja itakuwa inakuwasha wewe sio bure
  6. Nyamwage

    Msaada wa kupakua mziki YouTube

    Tumia snaptube ipakue kupitia google sio play store
  7. Nyamwage

    Road map 2024: Muongozo kwa vijana wanaotaka kuoa mwaka huu

    Mvulana ambaye hujawahi kuoa au kuishi na mwamke unashauri vipi wanaume kuhusu kuoa
  8. Nyamwage

    Kuangalia picha za ngono wakati wa punyeto inaweza kumpelekea kijana kufikiria mambo ya ushoga

    Mwamba nyeto yako hua hainogi mpaka ujididimize mdole wa kalio nini sio wote wako kama wewe wengine hatukutumia sabuni wa futa tulipiga kavukavu
  9. Nyamwage

    Mnaonaje fungu la kumi wangepewa wakunga na wauguzi kuliko kupelekea pastor

    Hi? Mnaonaje fungu la kumi au sadaka wangepewa wauguzi wa afya na vyuo vyote vinavyotoa mafunzo hayo sababu wanachokifanya katikati maisha ya mwanadamu kinaonekana sababu unaweza zidiwa na magonjwa ukapelekwa hospital na ukatengamaa kama siku zako za kufa hazijafika bado kuliko kuwapa hawa...
  10. Nyamwage

    Hivi wanawake shida ni nini lakini?

    I don't need a woman in my life kwanza niwachoyo wabinafsi washirikina uroho pia ni wao walalamishi makelele mbali na kutupa uchi sioni faida yao ningekua na mboo ndefu basi ningekua nainyonya mwenyewe tu
  11. Nyamwage

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Niki install ets 2 alafu nikaifungua graphics nimeseti hivi 1. Resolution 1280×720 2. Scaling .100 3. Reflection .low 4. Vegetation .medium 5. Grass.low 6. Shadow.disabled Napata FPS 30 mpaka 31 smooth inayo ridhisha lakini nikizima PC alafu nikaiwasha tena ili nicheze FPS zinashuka nakuwa...
  12. Nyamwage

    Ipi ni RAM sahihi kwa hii PC

    Asante mkuu kwahio zote zina speed sawa au hiyo yenye low power ni dhaifu kuliko hiyo isiokua na L
  13. Nyamwage

    Ipi ni RAM sahihi kwa hii PC

    Habari Nimeingia kariakoo kununua RAM nimemwambia muuzaji nahitaji ram DDR3 GB 8 ananiuliza tena unataka ipi PC3L au PC3 nikabaki mdomo wazi nikamwambia hebu nipe elimu kidogo tofauti ni nini kati ya hizo mbili kaniambia PC3L ni latest inaweza isisome kwenye PC za zamani na PC3 ni ya kitambo...
  14. Nyamwage

    Game la ETS 2 halitaki kufunguka

    Profile ipi hapo
  15. Nyamwage

    Game la ETS 2 halitaki kufunguka

    Wakubwa vipi mambo nimedownload hii game kupitia torrent na nimeiinstall kabisa tatizo ni moja haifunguki kila nikijaribu kuiopen kale kamshale kanazunguka tu alafu kanaacha hakitokei kitu chochote msaada wenu tafadhali
Back
Top Bottom