Usemayo ni kweli, maana kitu chohote haramu huwa ni kitamu na kizuri. Kinachochangia kumuona mtamu ni ile hali ya kujihisi mjanja na mwenye akili kuliko mumewe lakini ikitokea ukakabidhiwa na kuambiwa awe wako kisheria waweza mchoka siku hiyo-hiyo, hata ikitokea ukaoa Watakaochepuka na mkeo...
Kuna makabila yana utaratibu wa kwenda Ant- Clockwise (kinyume-nyume) sijajua kwa nini waliamua hivi. Ukweli upo hivi, Mwanamke ni sawa na shamba lenye rutuba ambalo mbegu yoyote ikipandwa au kupeperushwa na upepo kisha ikafikia kwenye shamba hilo itaota tu. sasa kawaida shamba ambalo...
Umetoa hoja nzuri, tatizo siyo kuwa na wake wengi maana hata baadhi ya sisi wenye mke mmoja cha moto tunakiona. Tatizo huyu Kaka yangu ameishi na " mchepuko" kwa jina la "mke mdogo". Kama angekuwa amemuhalalisha na wanajuana na mke mkubwa na pia watoto wanajuana na kutembeleana yasingefika hapa.
Kuoa mke mmoja au wanne ni sheria zilizowekwa na wanadamu lakini MUNGU hajawahi kuwawekea wanadamu ukomo wa kuoa ndo maana manabii wa zamani walikuwa na wake wengi na hatujawahi kusikia wakihesabiwa dhambi. ikiwa sheria za Kanisa haziruhusu waweza kufunga ndoa ya kimila na maisha yakaendelea.
Nakushauri uwe na maamuzi ya kiume, watoto kisiwe kisingizio cha Mwanamke kukupelekesha anavyotaka. Ukimuonyesha mwanamke kuwa unampenda sana lazima atakuendesha kwa kucheza na hisia zako. Badilika kuwa imara kama simba!! pia nawe jitafute kimya kimya pale utakapogundua kuwa unamkwaza usisite...
Cariha bwana!! 😁 😁😁 Michango yako huwa inaniacha hoi mpaka natamani kukufahamu wewe ni Mwanamke wa aina gani!!. Kimsingi mimi naona huyu jamaa anachangamsha jukwaa, kama siyo hivyo bado ana kauvulana kwa mbali. Maana matatizo yote aliyoyaelezea kwenye uzi wake akituliza akili kama kiongozi, mume...
Acha vitisho vya kilokole, kwani wasio kunywa hizo pombe hawafi!? Au wachungaji na mashehe hawafi kwa kansa!? Kwa taarifa yako Kifo kipo palepale, hizo ni njia na sababu za kuondokea tu.
Halafu ujue wafanyibiashara wa hivi vileo wanalipa kodi serikalini tofauti na wamiliki wa makanisa wasio...
Utumwa haukuletwa na Kanisa, pia Malkia wa UK ndiye mkuu wa Kanisa la Anglikana. Kwa nchi za ulaya Walutheri wengi wanapatikana Germany maana ndiko muhasisi wa dhehebu hilo alizaliwa.
Mheshimiwa, Mimi ni nani mpaka nikatae kukosolewa wakati najua kuwa kukosolewa ni sehemu ya kujifunza na pia najua kuwa hapa Duniani hakuna asiyekosea . Mimi nakataa pale mtu anaponikosoa kwa kunipotosha zaidi. wewe kinachokuchanganya kwa hayo maneno ni lahaja tu.
Kuhusu uthibitisho wa Mussa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.