KIla Mkoa na wilaya zake ndo wanaratibu nyomi....,ole wa Mkuu wa mkoa na wlaya ambao watashindwa kuleta nyomi! watakiona cha moto.Ndivyo nyomi inavyopatikana
Jeshi la Kenya kuliona labda wakiwa kwenye gwaride.Tanzagiza wao kila mara kwenye vyombo vya habari utadhani ni idara ya chama cha mambuzi,unataraji nini kitatokea!.
Ungejua hao watu wanakusanywa na viongozi wa wilaya na Mkoa usingetoa povu lote hilo wewe chawa.Ole wa wilaya na mkoa ambapo watu watakuwa wachache! Kazi huna.Hapo ni mashindano ya wilaya na mkoa kumjazia mama watu kwenye kampeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.