Recent content by nyampindi

  1. N

    GE2025 Luhaga Mpina apitishwa kuwania urais kwa tiketi ya ACT kwa 92.3%

    Mpina kumbe nae pandikizi zile kelele zote za nini ssa mjinga kabisa
  2. N

    GE2025 Zungu awashukuru wajumbe wa Ilala kwa kumpigia kura

    Mkuuu vijana wenyewe akina Tale Tale wanapika mrenda
  3. N

    Itungwe sheria mpiga kura lazima awe na elimu kuanzia kidato cha nne huku mgombea kuanzia diwani awe na elimu angalau kidato cha sita

    Kwani kuwa mbunge ni kusoma na kuandika Jimbo fulani diwani alie kaaa miaka 20 amabe hajafanya kitu chochote na wananinchi wamemchoka halafu ndio huyo huyo wajumbe wamempisha kaonjoza kura za maoni hajui kusoma na kuandika ni rafiki yake mkubwa na kiongozi alie kuwa anasoma majina ya wabunge...
  4. N

    GE2025 Babu Tale akipika Mrenda baada ya kushinda Kura za Maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini, Mashariki

    Kwan CCM WANASHIDA GANI MBONA VITU VYA KIJINGA SANA JION HÌII NIMEKAAA NA DIWANI MSTAFU ANASEMA SHEMEJI YAKE ALIKUWA ANAGOMBEA UBUNGE KAPOTEZA MILLION 600
  5. N

    Series (Special thread)

    Ahsante sana mkuu ila naona imepoa sana ngoja nisogeee kibishi
  6. N

    Series (Special thread)

    Mkuu kuna series ya Fargo nipo ep ya 7s ya kwanza ila bado hata kuielewa je uko mbele itakuwa moto mkuuu?
  7. N

    GE2025 Bila shaka Balozi Polepole anatafuta shari na huenda amejiandaa kwa shari

    Atafanyaje anachimba wenzake Biti tu hana lolote anapiga kelele na kutapa tapa
  8. N

    GE2025 Shangwe laibuka baada ya Eric Shigongo kuibuka mshindi kura za maoni CCM, jimbo la Buchosa

    Du ccm hakika mmekivua chama hakika kweli mbona mie naona aibu mie kweli jamni chama kinaendedwa kwa nguvu ya pesa Rushw
  9. N

    GE2025 Jumaa Aweso aibuka kidedea kura za Maoni ubunge Jimbo la Pangani

    Hao wote walio rudi nao aliwachukulia fomu ssa inataka apate mpinzani wa kutoka wapi wote wake mkuuu
  10. N

    Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

    We nae mpiga zumari tu huna lolote andiko zako kumbe unaotea acha kuongea mambo usioyajua
  11. N

    GE2025 Baba Levo na kura 88 za maoni CCM jimbo la Kigoma Mjini

    CCM ni tatzo sana RUSHWA inatawala sana wajumbe ni maskini wana njaaa sana
Back
Top Bottom