Kuna mtu aliweka cm kwangu nokia 105 nikampa hela kisha akatokomea yapata miezi 2 sasa ila nikiwasha inaomba security code .
Huduma ya kuflash ipo umbali wa 192 km nifanyeje.
Nikiamka asubuhi huwa niko nomal level.
Kadri siku inavyo zidi kusogea ndivyo inavyozidi kuvimba usawa wa vifundo kwenda chini,nikibonyeza kwa kidole hakuna maumivu ila naacha kishimo kama kifuniko cha soda.
Msaada wenu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.