Recent content by nyamonga

  1. N

    Zitto na Kafulila walibezwa na kudhallilishwa je waliowadhalilisha leo wanajisikiaje?

    wapo si ndo maana wengine wameona kuwa inawezekana joto la ukombozi limeletwa na wao na unataka kuongea nn maana haea wana muda mchache tangu walipoanza M4C na mbona huwaulizi mafisadi wa nusu karne? hujatulia bila shaka!maana tunajadili suala la wezi waliokamatwa escrow unatuondoa kwa hoja...
  2. N

    Mh Zitto Kabwe wewe ni genius & very smart politician ever

    tunapokuwa tunaongea jambo jema mnapenyeza sumu!hero apewe KAFULILA ni stahili yake ndg eeeh Zitto kafanya mengi mazuri hata pesa zetu zilizofichwa huko wezi alituletea majina yao waziwazi ktk hili la escrow ni Kafulila subirini akifanya jema jingine tuutambue mchango wake pia eeh jamani eeeh!
  3. N

    Mafisadi wa Richmond na IPTL sasa yalia na Mwigulu Nchemba

    ovyo sana mwigulu?tafakarini upya na kwa makini mwagulu ni bogas hana la maana zaidi nu automaton hawezi kujidhibiti ana matusi domo lake km choo ni dijteta tumemuona akitetea ufisadi labda kwa sababu ya mapovu mdomoni?sawa!
  4. N

    Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia, Hakuna Yeyote wa Kuwajibika

    kwa hiyo kwa maoni haya wataka waachiwe hivyohivyo? tumewajua walivyo wapigaji lkn vigumu kweli kuwatia hatiani ni hapa tu ndipo kuna watertight hawawezi kuchomoka ila akitokea alqaeda akamwaga bunduki na mabomu ya kutosha kwa hali hii ambayo watz kwa asilimia kubwa wamedhikika hivi kutokana na...
  5. N

    Mahakama yaingilia Bunge kuzuia suala la Escrow lisijadiliwe!

    yaani umeniboa kwani rais hawezi kukosea?wameiba fedha wawajibishwe mbona unakataa wezi wasowajibishwe?siyo bure wewe na escrow!
  6. N

    Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    Na hili gazeti lichunguzeni jamani maana kila siku kwao chadema hakuna jema ni mabaya tu nadhani ni la kifisadifisadi vile!
  7. N

    Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    taka!mkuu labda fikiri tena maana taka utaiona vizuri maana watu wanaonunulika kwa kushawishiwa ndo taka hizo na usisahau kwa nn chadema? ni kwa sababu ndio wapinzani wa ukweli maana ACT iliundwa na kupewa usajili wa kudumu kwa kasi ya kisulisuli wakati CCJ iligonga mwamba. Maana pia walikuwa...
  8. N

    KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY

    hujui?siyo hivyo km Taifa tulishauzwa zamani!angalia ukiwachungulia watakuulimboka ohoo dadaangu!!!kiukweli tunahitaji ukombozi,tena wa haraka maana tangu enzi za NBC kugawiwa bure hadi leo tunu zote kwishiney hatuna kilicho chetu vyote wamewekeza kumbe wapi!nashangaa wayz wenye uwezo...
  9. N

    Nasari agharamia harusi ya shemeji yake huku shule ya msingi alipozaliwa yafungwa kwa kukosa choo

    choo choo, hata bandiko choo!maana mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize sana kwani Nassari ni mw/kiti wa kijiji? juzi tumeona akiwaletea wananchi wake maji mbona hilo hukulibwabwaja humu?mmejaa chuki na sumu angalia urakufa mapema!yaani huwaoni mafisadi wenye pesa uwalalamikie ni kwa nini...
  10. N

    Kwa wenyeji wa mkoa wa Mara

    sasa murra umefanya nn?maana umenifanya kudondosha mate aroo!
  11. N

    UKAWA yahujumiwa Songea!

    wataka madaraka huwajui?si ni hao wanaong'ang'ania madaraka kwa kupiga mabomu kila mtu hata wanahabari na km hawapendi madaraka ni kwa nini wanatumia ubabe kwa vyombo vya dola?wote walio na mawazo mgando wataendelea kushabikia majambazi ljn naamini hata mijambazi hugeukana!hamtaendelea sana...
  12. N

    Kenya na India Zaipiku Tanzania Kwa Mauzo ya Tanzanite

    Dr.Slaa aliwataja mafisadi papa pale mwembe yanga hamkuwaelewa?wa kwanza alikuwa..... ndio wanaoimaliza nchi!mlitegemea nn?
  13. N

    Slaa alia Machozi ya Uchungu kwenye Mkutano wa hadhara Morogoro

    kweli wewe unafikiri kwa tumbo nadhani ulipewa akili ya fisi si vinginevyo mkuu!anaulilia ukatibu wakati ni wa tz. wenzio wameonewa kihivyo?au hujui bi ndg zako hao?au itikadi imekupofusha?mtawauwa watu ili mrithi nini?nyie ndio akina AHABU na mbwa watairamba na damu yenu nyambafu!
  14. N

    Slaa alia Machozi ya Uchungu kwenye Mkutano wa hadhara Morogoro

    duh hawa polisi walinde raia siyo ccm maana raia ndio waliowaajiri hii hali ya kutwsatesa wananchi kwa utofauti wa itikadi wanachokipandikiza ni zaidi ya somalia!
  15. N

    Lema 'anasakwa' Jijini Arusha

    kumbe na wewe hujui?mpango mzima ni kuwaandikisha wale ambao mlengo wao unajulikana wa kifisadi zaidi na ni kwa nchi nzima angalieni sana ikibidi iwe mapema kieleweke tuanze na watendaji watuandikishe hatuwaombi! ni haki yetu wanajua wamepitwa na wakati wanakumbukumbu ya 2010 asilimia 52 ya wa...
Back
Top Bottom