Mkuu ndo maana kuna mahali panaitwa chumbani,mahali ambapo unaweza kumuonyesha mpenzi wako kwa namna yoyote jinsi unavyompenda,maana ndiye anayepaswa kuona huo upendo wako na c mwingine.Cc wengine hata msipokiss wala kukumbatiana hadharani tutajua tu through phyisical appearance yenu.so jitahidi...
Habari Jf doctors,
Naomba msaada,kila ifikapo baby days naumwa sana tumbo la chini ya kitovu upande wa kushoto na wa kulia,inakuwa kama mirija ina vidonda na kusababisha kiuno chote kuuma.
Na mara maumivu yanapopungua huko nashindwa kukaa maana nikikaa kunakuwa na kitu kinachoma kutoka sehemu...
Mkuu,mkishakaa miaka 2 ndani ya paa moja,kisheria ninyi ni mke na mume.japokuwa mkikaa miezi 6 watu wanaizungumzia kuwa mshakuwa wanandoa ni sawa,ila mkiachana hamuwezi kwenda sheriani,maana huko wanasikiliza waliokaa pamoja kuanzia miaka 2 na kuendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.