Recent content by nyamit

  1. nyamit

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Tecno k7 Ram 1 GB Rom 16 Fingerprint Camera Bei 170k Location dar Call whatsup msg 0715856757
  2. nyamit

    Kwanini wanaume waliooa wanapenda kuficha simu zao?

    Simu yangu ni kiboko yao ina sehemu 2 yaani switch 1 na 2 mke anajua moja tu picha za ni 2 hazipo ni 1 msg haziingiliani hata niiweke hawezi jua paswed tofauti .hii ndio nayotumia kiboko ya mke
  3. nyamit

    Napenda kupiga Deki, lakini hili ndo tatizo ninalokumbana nalo

    Mkuu hiyo harufu haitatoka mpaka utakapo acha kutamani kuingia chumvini Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nyamit

    Je, ulishawahi kuwa na mpenzi ambaye haukumpenda?

    Sindano inaumiza japo ndio tiba cheza mchezo na mtu amtongoze awe nae halafu mpange siku ya kufumania ukomae humtaki kabisa ukimwambia ameanza sku nyingi ,NB itakusaidia kumuacha atapata mwingine kuliko kumchezea ukijua huna malengo nae Sent using Jamii Forums mobile app
  5. nyamit

    Kwanini umcheke mwenye kibamia wakati hakujiumba?

    Wanakula wanashiba Sent using Jamii Forums mobile app
  6. nyamit

    Vumbi la mkongo tupa kule, vumbi la payroll ndio dawa pekee ya nguvu za kiume!

    Vijana mtaumia Sana kutumia vumbi hilo ni Kama pump ya maji inavuta nguvu zote then baadae unashindwa game mnaanza kulaumu na jinsi wanawake wa siku Hz walivyo hawana dogo kusema Kwa majirani ,tumieni nguvu zenu za asili Sent using Jamii Forums mobile app
  7. nyamit

    House4Sale Nyumba inauzwa Bahari Beach

    Anaogopa hata kupiga picha
Back
Top Bottom