Hao wanajulikana kitambo kwamba wako kwenye kundi la wasaliti Tanzania, yaani ACT. Huyu mzee Kasisiko ni mwenyekiti wa muda mrefu mkoa wa Kigoma, atutajie mafanikio ya Chadema mkoani kwake kwa miaka yote hiyo na akiwa ni mtiifu no.1 wa Msaliti Mkuu Zitto kutokana na ramba ramba aliyokuwa akipewa...
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Dr. Slaa kwa uzalendo wako, Baba tunakuhitaji ututumikie Mzee wetu katika uongozi wa juu wa Nchi hii walau hata kwa mmiaka mitano tu!<BR><BR>Mungu kilinde sana kiumbe hiki, watu wako tuliopoteza matumaini chini ya utawala wa Majambazi ccm, tunakuomba Mungu Baba...
Zitto ni Mfadhili Mkuu wa ACT na Mwkt mtarajiwa wa Taifa, kwa sasa anachokifanya ni kung`ang`ania uanachama wa Chadema japo si mwanachadema na hajawahi kuwa na dhamira ya kweli kuipenda Chadema bali maslahi ndo yalikuwa mbele zaidi, Ili tu aendelee kupata maslahi ya kukijenga ACT.
Nawasilisha
Kama Mungu Baba wa Mbinguni aishivyo, walaaniwe wote wanaojiita act na wapambe wao dhidi ya hila mbaya walizonazo mioyoni mwao kukwamisha Ukombozi wa pili wa Mtanzania kupitia vyama mbadala vya UKAWA.
Mwenyezi Mungu wa Mbinguni wape hukumu ya haki hawa act na hasa vinara wao akina Zitto, Kitila, Mwigamba, Chagulani, Gwanchele, Matata, Nyakarungu, Wilson Mshumbushi & etal kwa kukubali kutumika ili kufififsha matumaini ya Watanzania kukombolewa na Chadema kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi...
Kwa ninavyo mfahamu Zitto, wote walio ndani ya act anawatumia kama c,....m, benefit ya project yake hiyo itakuwa ni yeye peke yake kutoka ccm, baada ya hapo wote wataachwa kwenye mataa.
Stay tuned.......,,,,,,....!!!!!
Huyu Mwigamba ni mnafiki sana, alipokuwa amefukuzwa Chadema alisema anaachana na siasa na anrudi kufanya kazi yake ya uhasibu leo yuko busy ana laghai watanzania kwa maslahi ya tumbo lake.
Vile vile Mkuu wa chama chao Zitto alisema 2015 hatagombea tena Ubunge anarudi chuo kikuu kufundisha, leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.