Eti mTanzania wa kawaida atamudu vipi dola 100? Sasa mtanzania wa kawaida anaenda kufanya nini nje ya nchi kipindi hichi?
Mwanafunzi anaesoma nje ya nchi ni dhahir ana uwezo ndio maana hajasoma hapa. (Wenye ufadhili lazima watapewa utaratibu.)
Mgonjwa ambae an agenda kutibiwa nje ni LA IMA...
Hahahahahaha!! Kilichonitokea miezi kadhaa baada ya hii post dah!!
Nimecheka sana kuiona miaka 7 baadae!!
Hahaha JF bhana!!
Ila kwa kifupi hizo mbegu ACHANA NAZO KABISA!! Especially kama wewe sio kabila moja nao.
Full stop!
Habari waungwana.
Miaka 6 iliyopita nilionyesha doubts zangu kuhusu chanjo ya Rubella iliyoletwa nchini kwetu.
Nashukuru sana ule mpango haukupita nchi nzima na nina fikiri sababu kubwa ni tulivyompata huyu kiongozi wetu JPM.
Sasa kama mtaalam tena nina wasihi msije kukimbilia chanjo ya...
Chakushangaza hapa ni nini? Kwanini asikimbie risasi wakati yeye alikua hana silaha? Tungeshangaa kama na wao akina Mbowe wangekua na bunduki halafu risasi za polisi zilivyopigwa wao wakakimbia, otherwise tunashangilia upuuzi ambao hamtaamini utakavyokuja kutugeukia hata sisi wana CCM!!
Sasa...
Ebola ni gonjwa la kutisha sana, hii ni kwasababu huambikiza kirahisi sana, huua haraka na vibaya sana na halina tiba mpaka sasa! Tunaambiwa gonjwa hili linasababishwa na kirusi kinachopatikana kwenye nyani “kuruka”(mutate) na kuweza kumwathiri binadamu.
Mnamo tarehe 21/8/2018 Serikali ya...
Enough is enough aisee. Wanirudishie hela nisepe. Hata vihisa vyangu vikitoka nauza vyote. Na sishauri mtu yeyote ajihusisha na hili kampuni laki jambazi!
Wa Tanzania wenzangu mtandao wa vodacom unatuibia hela mchana kweupe bila kujali na hakuna popote tunapoweza kushtaki.
Huduma zao za kutuma pesa ni sawa na ujambazi wa kuvunja na kuingia kabisa sababu wanachukua hela yako halafu hawafikishi kwa mhusika na kukwambia kuna "tatizo la mtandao" na...
Mtu hata scenario ya tukio hajui, wala maana ya ambush hajui, ila ndio kimbelembele cha kuhukumu na kutoa kasoro.
Watu wako kwenye gari wanarudi toka lindoni. Jambazi/majambazi wakaanza kumshambuli dereva na kusababisha gari kuyumba na kugonga/kuanguka pembeni. Mda huu risasi zinaendelea...
Hivi ni kwamba asingeenda Raisi hayo makontena yasingeshikwa!? Halafu eti LEO ndio Spika anataka iundwe tume kuangalia tunafaidikeje na biashara ya madini LEO!!
Hizi ni laana za kuacha kuabudu miungu yetu. Sioni reasoning ingine. Kama huyu Mungu ni huyo huyo na wa wenzetu inakueje sisi tuko...
Hehehe. Utajua utumwa wa muafrika hauwezi kuisha pale mweusi anaejua kingereza na kubeba ma box ulaya anamkebehi mweusi mwingine kwa kutokujua kingereza ila ni kiongozi wa watu million 50!!
Yani mweusi anaetumikia wazungu ulaya na kuwataza wazee huko ulaya leo hii anajiona ni bora kuliko...