Recent content by Nyamesocho

  1. Nyamesocho

    Single mother wote nchi hii karibuni mkoa wa Mara,Ukuryani, kwa nini uteseke? Kwa nini ujione kama ulikosea hii dunia? Hakika hutojutia

    Wewe fikia Kijiji chochote kilichopo Wilaya ya Tarime,au Serengeti baada ya mwezi mmoja utanipa majibu
  2. Nyamesocho

    Single mother wote nchi hii karibuni mkoa wa Mara,Ukuryani, kwa nini uteseke? Kwa nini ujione kama ulikosea hii dunia? Hakika hutojutia

    Mbona single mother wakenya hawakatwi mapanga,acheni kuwaonea wivu,wacheni waje Mara wapate waume
  3. Nyamesocho

    Single mother wote nchi hii karibuni mkoa wa Mara,Ukuryani, kwa nini uteseke? Kwa nini ujione kama ulikosea hii dunia? Hakika hutojutia

    Slogani yetu sisi wakurya "Tunataka watu,na kitanda hakizai haramu " Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni? Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina...
  4. Nyamesocho

    Wadada Msipende kula pesa za wanaume ambao hamna future nao. Zitakugharimu!

    Hata mimi nimewahi kumtongoza mdada mmoja hivi kumbe alikuwa na mtu wake mimi sijui,akawa ananiomba hela nampa,kila akiniomba hela namtumia baadae ghafla akakata mawasiliano baada ya chenga nyingi za kukwepa kwenda faragha,sh Kama laki moja na nusu mdada alichukua ila kwa awamu Baadae nami...
  5. Nyamesocho

    Jinsi pikipiki za CCM zilivyowagawa wanaccm majimboni

    Ingia mtaani hoji wanaccm ,acha porojo,hoji wanaccm wenyewe,na hii kitu imewahi kuwatokea kipindi cha nyuma kwenye sare za chama
  6. Nyamesocho

    Jinsi pikipiki za CCM zilivyowagawa wanaccm majimboni

    Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe Madai ya chuki Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm...
Back
Top Bottom