Recent content by Nyamemba

  1. Nyamemba

    Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

    Unawajua watumishi wa umma?
  2. Nyamemba

    Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

    Haitatangazwa aisee ila we'll keep our eyes open
  3. Nyamemba

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba anasema na kutenda

    Dear President Samia Suluhu, I hereby extend to you my warmest congratulations on wise appointment of Mwigulu Nchemba as Minister of Finance and Planning in your Government. The Tanzanian People have a tremendous trust on you and your government in improving people's welfare and to the...
  4. Nyamemba

    Mtaka ndiye unayefuata

    Yaani alitaka kuharibu mfumo wa Elimu Tanzania. Huwezi kumwandaa mwanafunzi akariri kitu fulani ili afaulu mtihani , mwanafunzi aandaliwe kupata skills na sio kufaulu mtihani. Style ile ingepelekea walimu kutofundisha na kusubili kipindi cha Makambi kuwakaririasha wanafunzi. Msimsingizie Mama...
  5. Nyamemba

    Bado mwezi mmoja kuifikia ile siku mbaya tena

    Dkt Filipo Isdori
  6. Nyamemba

    Rais Samia kuwa makini, Sukuma Gang na CHADEMA wanaweza kuungana

    Sahihi. Ila Mshana alichokiandika Johnny Sadick ukiangalia kwa jicho la tatu kina ukweli
  7. Nyamemba

    Kuruhusiwa kwa mikutano ya kisiasa nchini nani kufaidika zaidi kati ya CCM na vyama vya upinzani?

    Ni bahati mbaya sana this time hatuna upinzani IMARA wangeifumua CCM vibaya. 1. Kutoroshwa rasilimali za Taifa kwenda Arabuni. 2. Inflation na gharama za maisha kuwa juu. 3. Deni la Taifa kupaa bila maelezo ya kujitosheleza. 4. Kifo cha Mwendazake (Hili japo ingeonekana ni kula matapishi yao ila...
  8. Nyamemba

    Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

    Sijui nataka kusema nini ila haya majina na kushikwa matako ni..,.
  9. Nyamemba

    Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule nyingine

    Shelimo alitukuta Pugu 2007 jamaa alikuwa mpole na msataarabu. Baadae alikuwa Afisa Elimu Temeke
  10. Nyamemba

    Rais Samia: Nagusa na Kubadili Mawaziri wote isipokuwa Biteko, anafanya kazi nzuri

    Mpigaji wa mda mrefu. Anahodhi Leseni za uchimbaji madini nyingi sana,anahusika kwenye utoroshwaji wa madini nje,amewaweka chawa wake wizarani na ana vihisa vingi kwenye kampuni za uwekezaji nchini
Back
Top Bottom