Gari zinauzwa bei kitonga na mazungumzo yapo Harrier Lexus 12,000,000/=,Benz na Crown Majester Blue 9,000,000/= kila moja na White Majester 8,000,000/=
Karibu tuzungumze 0777949284
Wanajamvi salaam!
Nina mzigo wa korosho kama tani 1000+ Mtwara (Tandahimba & Newala), Nahitaji ufike Dar es salaam, ASAP mwenye lori zaidi ya tano mpaka kumi anaweza nitafuta 0622479330 tuzungumze.
Wanadamu tuna shida pahali,why uhisi hao watu ni wapigaji?Tumehalalishiwa upande wa giza sana na tunauamini kuwa unafanya kazi.Mfano watu wanaandika kombe na watu wanalinywa na wanaamini wanapona,watu wanaandika karatasi waweke juu ya mlango na wanaamini ni ulinzi,watu wanapewa jini liwape fedha...
Ukristo una taratibu katika utoaji wa sadaka,usije sema hukuambiwa,peleka sadaka kamili kama Biblia imeelekeza,usilete janja janja.(Leteni zaka kamili ghalani Mal 3:10-12)
Ndugu hufahamu lolote kuhusu korosho na namna zinavyokusanywa,kwa maelezo yako unamaanisha msimu huu hakukuwa na watu wa cutting kwenye maghala ya kukusanyia korosho?na sijui hata kama hyo cutting unajua maana yake.Tuanzie hapo ili twende sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu tuheshimiane usilete utoto humu, hunifahamu vyema wala sikufahamu either, nahitaji malori kuongeza nguvu au maana ya kukodi hufahamu kama inaenda tumika fedha? Heshimu wengine hautapunguza chochote.
Wadau nipo Mtwara wilaya ya Newala,nina kampuni ya usafirishaji iliyopata tenda kwa wilaya za Masasi, Newala, Tandahimba na Mtwara vijijini, nahitaji pia Lori zitakazobeba mzigo toka katika wilaya hizo maghala makuu kwenda Mtwara bandarini,kwa alie tayari tafadhali aje PM kwa ajili ya ufafanuzi...
Ndugu unachanganya mambo, hiyo bei inaitwa bei elekezi mwaka jana ilikua 1450 na korosho katika Manda ilinunuliwa mpaka 3600,hicho kilichooneshwa hapo ni bei ambayo mnunuzi hapaswi kununua pungufu yake au kwa maneno mengine Manda unaanza na bei hiyo na kuendelea, na kwa mwaka huu naamini korosho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.