Recent content by nyambe boy

  1. N

    Kwa wale wa admission uko DIT mnafanyaaje aise

    hata na mm mkuu nimeona hivyo nikaacha nadhani mungu asaidie nifike nitapata ufumbuzi hukohuko. kwan ww umesharipoti
  2. N

    Vyuo vya Ufundi, Taarifa Muhimu kwa wanaopenda kujiunga

    kwa chuo cha mineral resource institute ada yake ni laki 6 na 30 kwa mwaka cost nyingine unalipiwa na government. angalizo walikua na plan ya kupandisha ada
  3. N

    Bachelor of science in Multimedia technology

    multmedia technology unaweza fanya, kwenye television, video shooter, yaani kikubwa utakua una deal na mambo ya production,film nk
  4. N

    Walioomba udahili SUA waangalie kwenye account zao

    inavyo onekana kama user blocked inamaana ujapata mkuu
  5. N

    Walioomba udahili SUA waangalie kwenye account zao

    yametoka mkuu kweli mm apo rafiki yangu nae akiingia inaandika user error but mm nimeingia nikakuta nimechaguliwa kweli kabisa mkuu
  6. N

    Walioomba udahili SUA waangalie kwenye account zao

    jamani sua mzigo tayari angalia kwenye account
  7. N

    Mkopo ndio utakao-determine hatima ya ndoto zangu mwaka huu

    kaka mungu yuko pamoja na ww kua na imani kua umeshapata
  8. N

    Heslb achieni basi hata awamu ya kwanza!

    kabsa, kuna watoto wa wakulima huku ndo wanasibilia wajione kama wamo
  9. N

    Mkopo ndio utakao-determine hatima ya ndoto zangu mwaka huu

    tumuombe mungu atusaidie kwa sababu ata mwenzio hapa niki kama ww. lakini imamni tu ndo itatatua haya mbambo yote mungu akubariki
  10. N

    Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

    mzee naitaji kujua whats is brown field exploration
Back
Top Bottom