Habari wadau muhimu wa ujenzi.
Niko kwenye hatua za kupaua baada ya kupambana na boma. Sasa ombi langu ni kujua idadi ya mbao zitakazotumika kwenye mjengo wangu.
Nyumba ina urefu wa futi 37 na upana wa futi 22.10.
Nataka nitumie mbao za futi 12. Location yangu ni Bunju.
Nb. Ramani niliipata...
Habari ndugu zangu. Leo nimekuja kwenu kuomba wajuzi wa mambo ya ujenzi.
Nina boma langu limenisotesha kulimaliza mpaka kozi 12.
Sasa hatua inayofuata ni kupaua. Hitaji langu ni kujua idadi ya bati zitakazotumika. Boma langu lina sifa zifuatazo:
1. Urefu futi 37
2. Upana futi 22.10
3. Vyumba...
Tulipoenda zahanati mchana mapigo ya moyo yalikuwepo. Usiku saa sita u uchungu ulivokolea alipimwa lakini mapigo ya moyo yalisikika kwa mbali ndipo tukaenda hospital kubwa. Usiku alipopimwa mapigo ya moyo hayakusikika kabisa. Kwa mujibu wa wahudumu walisema mtoto alifariki masaa machache kabla...
Asante mkuu. Kwa awamu zote ultrasound tulipima wakati yuko na miezi minne hakukuwa na shida. Hata miezi 8 tulienda kupima ultrasound hakukuwa na shida. Kuhusu magonjwa ya zinaa tulipima( kabla ya kuoana na baada ya kupata ujauzito) kuhusu uvimbe hatujapima
Habari wanna jamvi wenzangu wa JF. Tumuombe Mungu atuepushe na hili janga la Corona maana maisha yetu na kukaa kizuozini wakati mtembezi hula miguu yake tutakoma.
Turudi kwenye mada. Ndugu zangu wana JF mwenzenu Kuna kitu kinanitatatiza. Mwaka 2018 December mke wangu alikuwa na ujauzito wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.