Recent content by Nyamaiso

  1. N

    GE2025 Askofu Bagonza: Hili la Askari wa kukodi (Mercenaries) lisikaliwe kimya

    Mengine yote ni sawa, Lakini mkoa wa Mara jina kake likikuwa hilohilo , Mara, haukuwahi kuitwa jina la Ziwa Mashariki, Kuhusu Hand Pope, hawa vijana wamekariri Hansoope wa Simba, Kumbe alikuwepo Mkuu wa polisi Kagers akiitwa Hans Pope, ambaye ni kaka yake na Marehemu Hans Pope wa Simba
  2. N

    Ni mamlaka ya Katiba ndio msingi wa haya yote

    Hilo ndio jibu, not what you think, but that’s what it is.
  3. N

    Ni mamlaka ya Katiba ndio msingi wa haya yote

    Mayor, kuwa Rais wa Tanzania ni rahisi sana, Hata uwe na uwezo gani kielimu, au una vipawa vyote vya kuwa kiongozi mzuri, lakini kama haupo kwenye korido za Lumumba, sahau urais, Siku moja utasikia hata Msukuma ni Rais, Majina yote ambayo unatasikua leo wapo CCM, basi mmojawao hapo ndio Rais...
  4. N

    GE2025 Day 5: Patrol inayoendelea katika baadhi ya viunga vya jiji la Dar es Salaam

    Watanzania, mtu anatutaarifu, kwa hiyo hata mauaji wanayofanya, inabidi yafanyike kimyakimya, ndio maana yako, Ni information zipi hizo nyingi.
  5. N

    GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

    Ndugu yangu , unasema watabadilika, ili waweje, hivi kwa akili ya kawaida, wakinadilika wanabadilikaje, hicho chama , kuanzia Viongozi wao wote mpaka uongozi wa chini kabisa, akili zao ndio hizo, mpaka washabiki wao wapo hivyo, leo wabadikike, kinabadilika kitu gani, ndio maisha waliozoea, dawa...
  6. N

    GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

    Huyu mtu anaudhi sana, yaani ni binadamu wale wanaosherehea watu wakipatw na mabaya, ni kama mchawi Fulani hivi, Nashangaa ni mwandishi gani wa habari mjinga kama hivi, anachoandika hakieleweki , kama ni mwandishi kweli, hajulikani anasimamia nini ktk uandishi wako, ni mtu anayeleta maudhi tu.
  7. N

    GE2025 Atawatawala kwa Risasi na Mamluki?

    Kwa hiyo wananchi tufanye nini ndugu Pasco, tusubilie mpaka Yeye atakaamua unachojisikia
  8. N

    Hesabu Zinasema Alipata Kura Milioni 32

    Kalamu, naona unjipa home work ya ajabu sana, Hivi kwa uliyojiuliza hapo, akitokea mtu wa Tume ya Uchaguzi akakuelewesha , utakubali, Naona tuangalie the way forward nini cha kufanya, sababu majibu hata kwa mtu wa kawaida kabisa yanaonekana, ni wizi na kupika matokeo kama kawaida yao.
  9. N

    The United Banana Republic of Tanzania!

    Bahati mbaya, Mungu hakumpa huo uoni(sijui hasa jina lake, labda utambuzi) Haoni kitu chochote nje ya anachofikiria yeye, ni kama kapigwa upofu, Wanachoona wengine yeye haoni, wewe ukiona watu wanaulia, yeye haoni, Ukiwaona rushwa imetamalaki, umyeye haoni, Watu kupotea,yeye haoni, ndio hivyo...
  10. N

    Pongezi kwa Mashujaa Wetu Wote. Kazi Inaendelea

    Kalamu, asilimia kubwa ya Watanzania, ni wezi, wavivu, wanafiki, masikini, wajinga, no exposure, wameridhika, na mambo kama hayo, Sasa ukiwatolea utawala ambao wanafanana nao, watakuona wewe ndio mbaya, Wataiba wapi tena, wakati tumezoea, atatufanyisha kazi huyu kama punda, wakati nikiuza...
  11. N

    Pamoja na unyang'anyi wote viongozi wa dini zenu watajazana kumsimika, mtaambiwa chaguo la Mungu

    Nchi zote zimeona hakukua na uchaguzi wowote , SADC, EU, SA, wote hao walikuwa upande wa Wananchi, hata CCM wenyewe wameona hakuna kitu kama uchaguzi umefanyika, bado mtu anajitangaza ameshinda kwa kura M 32, kama sio ujuha ni nini, nina uhakika hata robo ya waliotakiwa kupiga kura hawakupiga...
  12. N

    Uingereza, Canada na Norway waungana kulaani kinachoendelea Tanzania. Wataka Mamlaka kuzingatia mikataba ya Kimataifa

    Tupo kwenye VACCUM YA uongozi, Authorities haipo, Sijasikia hata NGO youote inatia Tamko kuhusu hali iliyopo, wote kimya, kama vile hawapo, Bora hata USAID Walivyoondoka, maana walikuwa wanakula pesa za bure, Mwambukusi yupo wapi, mbona kimya naye, na wanasheria wake,
  13. N

    A grave dereliction of duty!

    Na wananchi hii chance tunaichezea, sisi hivi utasikia CCM, bado ipo inatoa maagizo, tuliletwa hapa picha inaonesha ndege yetu inaenda Dubai, hatukutaka hata kujishughukisha, kujua inaenda kufanya nini na nani yumo, KIMYA, hata hatujali
  14. N

    CDF Mkunda ajiandae kusota kama sheitwan atashinda

    Sidhani hata kama haya unayombia atakuelewa, kwa jinsi anavyoonekana ni sisi ndio ambao tunampaisha, hana mwinekano wowote kama ni mjeshi hasa
  15. N

    Tetesi hizi: Ester Bulaya yupo wapi?

    Sioni sehemu ya kupostia, ila nimepewa link, naingia Jamii forum kupitia gooole, hata hivyo nimeomba msaada, naona tena wewe unaniuliza
Back
Top Bottom