Tahadhari nyoka huwa hafi kirahisi, imezoelewa kuwa nyoka ikipigwa mawe akaacha kutapatata basi kafa na tunamtupa. Tunakosea nakumbuka siku moja hapa kwetu usiku alitokea nyoka tukampiga mawe sana tukajirizisha kafa, mlinzi wetu mmasai akasema hajafa tukamkatalia basi akatuonyesha kitu ambacho...
Tukumbuke hata saul ambae kwa sasa ni paulo alikua muuwaji. Mungu alimbadilisha na kumfanya mtu mwema. Huwenda yeye aliuwa mimi na wewe tulimuuzi Mungu kwa jingine. Tumsaidie mawazo ya kumjenga na si kuzidi kumuumiza zaidi.
Anahitaji msaada tusimdhihaki, tumshauri vizuri, tusimuhukumu kwan kwa Mungu hakuna kipimo cha dhambi na hakuna alie mkamilifu. Anaumia ndio maana ameona alilete humu ili apate ushauri.
Najiuliza km alihitaji mtt huyu baba kwann alimtoa mimba mdada aliempa ujauzito. Vip km utazaa na mtt akapata dharura na baba yake akahitajika. Je huon km mtt hatakua na aman kuona baba yake anamlea kwa kificho? mengineno naomba uni mp tuongee zaid.
Nimepata nguvu sana kuliweka hili kwa jamii mahisi km nimepona. Nilikua mgonjwa kabisa kwa kuwaza, nimepata madonda ya tumbo. Kila siku nikitoka kazin nimekua mtu wa kujifungia ndan na kulia tu. Ila tangu juz nasijisikia aman sana. Nilikua nimebeba mzigo mzito moyoni ninawashukuru sana wote kwa...
Asante wapendwa wote ninawashukuru sana, sana napata faraja na nguvu sana,, kuna mambo naomba nijibu ni kweli hakuna aliemkamilifu hata mimi huwenda ni mkosefu sana, ila sikuumia sana nilipojua anatembea na rafiki zangu hg japo kuwa kwangu hg ni km mwanangu ila ningefanyaje km waliamua...
Kuhusu kimpeleka mtoto kwa baba ake ingekua ngum. Alinikuta nae namlea na ikumbukwe kua ilinichukua muda kuamia sababu ilikuwa watoto. Kabla yake wapo waliojitokeza kutaka kunioa walopotoa wazo la mtoto apelekwe baba yake sikuona vema.nilikataa. Pamoja na kuwa nakaa.nae sijawahi kumuomba pesa...
Asante azusa kwa ushauri wako, nilijaribu kumwambia juu ya jambo hili nakumpa ushahidi lkn inaonekana ni tabia yake.kwan niliwai kushika sim yake nikagundua ana wanawake anachat nao ni wapenz wake. Nilimuonya ila kwakua nilijijua ni dhaifu ktk mapenz nilijua huwenda ikawa sababu. Kuja kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.