Recent content by Nyaka-One

  1. Nyaka-One

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Ndiyo maana binadamu hatupaswi kudanganyika na tabasamu la mtu. Linaweza kutumika kuficha uovu wake.
  2. Nyaka-One

    Modestus Kapilimba Former DGIS na (IT) ndiye aliunganisha NIDA, NEC na CCM?

    Kama wakati huo nia ilikuwa njema, hiyo nia njema ya kuunganisha NIDA, NEC na CCM kimfumo ilikuwa ni ipi?
  3. Nyaka-One

    GE2025 Mpina na T-Shirt yenye picha ya Magufuli kuomba wananchi wamdhamini ili aweze kugombea Urais. CCM B kazini?

    Huyu kama anakubalika jimboni mwake si bora angeendelea tu kugombea ubunge jimboni kupitia hiyo ACT.
  4. Nyaka-One

    Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

    Sasa kwa uzoefu wako kwenye mambo ya giza kama ambavyo umekuwa ukijinasibu humu hilo tukio dogo tu ndiyo liwe la ajabu kwako hadi likukoseshe usingizi? Binafsi siyo muumini wa hizo mambo lakini pia kwenye story yako sijaona cha ajabu cha kupelekea mtu mzima akose usingizi.
  5. Nyaka-One

    Kangaroo ana uke mitatu

    Kwa hiyo yeyote anaejitokeza na kumsumbua anapewa kitu fake?
  6. Nyaka-One

    Kwanini Haji Manara anamshambulia Sana Gwajima??

    Labda hadi utekaji na mauaji ya "wenzie" yarudi tena kama miaka ile na Gwajima nae arudi na kuyakemea ndipo atamwona wa maana.
  7. Nyaka-One

    Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Kuuchuna huko kunampa faida gani mtoto wako wa kuzaa?
  8. Nyaka-One

    Tanga: Mwalimu ajinyonga kisa wivu wa mapenzi

    Hizo gharama za vyeti alizoamriwa kulida ni zipi?
  9. Nyaka-One

    DOKEZO GE2025 Kashfa kubwa mchujo wa Ubunge Mwanga. Kama wewe sio Muislam hupiti. Sikiliza audio iliyovuja

    Na je, kumrekodi mtu unaeongea nae kwenye simu bila ridhaa yake ni sahihi kisheria?
  10. Nyaka-One

    DOKEZO GE2025 Kashfa kubwa mchujo wa Ubunge Mwanga. Kama wewe sio Muislam hupiti. Sikiliza audio iliyovuja

    BIla shaka hiyo ilitokea kipindi kile TCRA walipokuwa hawajawataka makampuni ya simu kutoruhusu mtu kumrekodi mwenzie pasipo yeye kujua kuwa anarekodiwa. Kama sikosei hiyo ilianza katikati ya 2023.
Back
Top Bottom