Sasa kwa uzoefu wako kwenye mambo ya giza kama ambavyo umekuwa ukijinasibu humu hilo tukio dogo tu ndiyo liwe la ajabu kwako hadi likukoseshe usingizi? Binafsi siyo muumini wa hizo mambo lakini pia kwenye story yako sijaona cha ajabu cha kupelekea mtu mzima akose usingizi.
BIla shaka hiyo ilitokea kipindi kile TCRA walipokuwa hawajawataka makampuni ya simu kutoruhusu mtu kumrekodi mwenzie pasipo yeye kujua kuwa anarekodiwa. Kama sikosei hiyo ilianza katikati ya 2023.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.