Kwa sasa, wenzetu wametengeneza system ambayo haisumbui kufunga ina Inverter na batteries humo humo! Unapachika tu Solar Panels basi unaendelea. Mfano hii hapa
Asante kwa comment. Nyaishozi College in Chuo cha CBET na katika CBET tunatoa mafunzo kwa vitendo (training).
tutaishi milele naamini ushauri umeupata mwingi, ila kwa vile sisi ni watu wa vitendo, nakupa gharama ya system ndogo ya solar kwa manunuzi ni USD 917.
Kazi kwako
Nafasi
Tutors (Diogonostic radiography na Nursing), Receptionist na Networking
Sifa za Mwombaji
Elimu ngazi ya diploma na kuendelea
Maombi yote yatumwe kupitia
Email: info@nyaishozicollege.ac.tz
au
Whatsapp: 0745009792
Wanahitajika walio na Diploma au Degree ya Kwanza ya Radiography haraka.
Wasilisha CV kupitia info@nyaishozicollege.ac.tz au tuma kwa Whatsapp 0745009792
Wapendwa, tafadhali andika katika Title ya email nafasi unayoomba ili iwe rahisi kufanya uchambuzi. Kwa vyovyote vile tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwenu hususan JF kwani mpaka sasa tumepokea maombi 98. Mwisho wa kutuma maombi ni Jumapili tarehe 29/09/2024. Barikiwa sana
In an unfortunate incident in Kerala, a mahout (elephant tra ..
Read more at:
https://www.latestly.com/socially/india/news/kerala-elephant-tramples-mahout-to-death-at-elephant-safari-centre-kerala-farm-in-kallar-disturbing-video-surfaces-6056044.html
Tunashukuru kwa mawazo yako!
Hoja yako ni ya ujumla bila kuwa na data. Katika vyuo vya Afya, mitihani hutungwa na Wizara ya Afya. Mitihani inasimamiwa na Wizara ya Afya. Mtihani ni mmoja huo huo kwa vyuo vya Serikali hata vya Private. Mitihani inasahihishwa Dodoma na Wizara ya Afya.
Hapo huoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.