Habari wadau!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,ijue biashara ya nywele faida na changamoto zake,kwanza kabisa naweza kusema biashara ya kuuza nywele za bandia ni kama biashara zingine,inakuhitaji ufanye tafiti kabla ya kuingia kwenye biashara hiyo ili uweze kujifunza namna ya kuifanya kwa...
Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta (Ngo)taasisi za kulelea watoto yatima au walemavu zilizopo hapa Dar es Salaam, lengo kubwa kutoa msaada, anayezifahamu anielekeze tafadhali ikiwezekana anipatie hata mawasiliano yao.
Asanteni.
Kila siku biashara mpya zinaanzishwa lakini nyingi zinakufa bila kufika mbali,unajua kwa nini?,sababu zinaweza kuwa nyingi ila moja ya sababu kubwa kabisa ni kwambia biashara nyingi zinakufa kwa sababu ya kutojulikana hali hiyo hupelekea kukosa wateja na kushindwa kujiendesha kwa faida,tupo...
Habari wadau!
Kuna BP Machine hapa mpya pamoja na medical equipment zingine mpya,zote kwa pamoja zinauzwa Tsh 70000/=tu,
Mwenye uhitaji apige au atume what sapp kwenye namba hiyo +255682017479.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.