Recent content by nyabhosongo

  1. N

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Kikazi cha nyerere!...cjaelewa mkuu
  2. N

    Mdahalo uliondaliwa na TAHLSO wa Kujadili hotuba ya rais Star TV

    Mtu ukiwa na roho mbaya utaumia tuu kila likifanywa jema...andaeni na nyie basi kusifia ukawa kuzomea na kutoka bungeni...
  3. N

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    Ooh sorry nliona kama nzega kumbe ni geita?
  4. N

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    Nzega sio mkoa...bt Tabora imetajwa na mleta uzi
  5. N

    Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

    Who is this guy!?
  6. N

    ACT-Wazalendo Dar kufanya maandamano ya amani kumuunga mkono Rais Magufuli

    Suala la Richmond ya Edo ukawa walilipuuza...kweli ukawa kiboko
  7. N

    ACT-Wazalendo Dar kufanya maandamano ya amani kumuunga mkono Rais Magufuli

    Kila chama kina misingi yake yakufikisha hisia zake kwa wananchi, pia si lazima ukubali wanalolifanya act, maana wako huru nje kabisa ya ukawa...zitto lazima awe mbunifu kukitangaza chama...
  8. N

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    Uyu jamaa anamuombea JPM mabaya ili ashindwe kutekereza majukumu yake...ushindwe na shetani wako...
  9. N

    PSPF tuwalipe wastaafu mafao yao, wanateseka sana

    Duh ctaki kuamini kama pspf ndo wanaovimbisha majipu namna hiyo...kwa nn wazurumu haki za watu!!!?
  10. N

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Lazima wajaze mkataba kwanza...atakayeshindwa kikaangoni
Back
Top Bottom