Na walipo potea nyinyi wenye timu bora mkasawazisha kisha mkafunga.Unajua na kukaa kimya saa nyingine huwa ni bora sana maana kutakusaidia kuuficha ujinga wako.
Ukiona umetenga chakula halafu mlaji akakigusagusa tu na kuacha,usikimbilie kudhani kuwa kashiba,yawezekana chakula chako ni kibaya.Sasa wewe badala ya kutafuta tatizo lilipo na kulitatua analeta fikra za kuwakiwa moto kwa mchungaji.Angalia usije ukakosa mwana na maji ya moto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.