Recent content by Nyabhihere

  1. Nyabhihere

    Yanga waliingia uwanjani kwa kuidharau Simba

    Hawasikiagi hao mkuu yaani wako kama kenge ambae kusikia kwake mpaka damu itoke masikioni.
  2. Nyabhihere

    Kwa nini mashabiki wa Yanga huamini Simba ni mbovu kuliko Timu yao?

    We acha tu mkuu yaani haya ma nyumbu hata uyape detals gani maadam haziko upande wao hayatakuelewa hata ufanyeje.
  3. Nyabhihere

    Kwa nini mashabiki wa Yanga huamini Simba ni mbovu kuliko Timu yao?

    Na walipo potea nyinyi wenye timu bora mkasawazisha kisha mkafunga.Unajua na kukaa kimya saa nyingine huwa ni bora sana maana kutakusaidia kuuficha ujinga wako.
  4. Nyabhihere

    Nabi: Bao la kwanza la Simba sio halali

    Hahaha anatiwa mwiko.
  5. Nyabhihere

    Naomba ushauri

    Ukiona umetenga chakula halafu mlaji akakigusagusa tu na kuacha,usikimbilie kudhani kuwa kashiba,yawezekana chakula chako ni kibaya.Sasa wewe badala ya kutafuta tatizo lilipo na kulitatua analeta fikra za kuwakiwa moto kwa mchungaji.Angalia usije ukakosa mwana na maji ya moto.
  6. Nyabhihere

    Afisa Habari Simba Matatani kwa Kauli Chafu

    Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!?Utopolo ni wapuuzi sana.
  7. Nyabhihere

    Tusidanganyane hakuna nafasi ya Simba kushinda

    Angalia usite ukaukana uzi wako mwenyewe.
Back
Top Bottom