Hili Jambo rahisi Sana. Wazazi wanakuchagulia mchumba, mnaoana, mnazaa watoto, mnagombana mnapatana, maisha yanaendelea Hadi mola awatenganishe.
Tatizo mnapenda umagharibi Sana wakati mnaishi kusini mean jangwa la Sahara.
Huku horohoro kwetu...yaaani mpakani kenya-tanzania wasomali ndio illegal transit route wanakimbilia south africa, sasa traffic akichungulia akiwaona hao jamaa Basi wote mnaomba passport, sasa hao jamaa hawana...
Basi traffic na konda wanaenda nyuma ya Basi wakirudi kazi imeisha safari...
Mungu na amjalie nafuu na kupona mapema arudi nyumbani kuendelea na majukumu yake. Si kwa kuwa Yu mwema, ila Ni kwa neema ya mungu tu!
"Jinsi nilivo miiiiiimi Ni kwa neeemaaa tuuuu" Basi tujivune tujine Ni kwa neeeemaaa tuuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.