Cheza michezo yako yote tisa kumi ukigusa vatican wafwaaaaa. Hicho kibashite ni funza mdogo sanawala hakuna mahali kinajaa ni akili zake tu si timamu sasa mgonjwa wa akili familia yake ina wajibu wa kumpeleka mirembe lakini kizi mkazi imempa kichaa rungu unategemea nini
Bei ya vanilla kwa kilo hapa ujerumani ni 320€ ambayo ni sawa na laki nane na zaidi Tzs. Hapo kwa kweli mkulima wa Tz amedharauliwa kama siyo kuonekana hana maana
Kama nape kumbe ni failure alipata IV 29
Chongolo
Chongolo anafahamu nini kuhusu mkataba, analeta maneno matupu haonyeshi yameandikwa wapi katika mkataba kwa sababu wamezoea kuwaongopea wananchi
Ni kweli kila mtu ni mkosaji ila si ukosaji wa huyu kijana alikuwa anafanya makusudi kabisa huku akifahamu anatenda makosa kwa sababu alijua kuna mtu mkosaji mwenzake anamkingia kifua sasa Mungu amepita na yule huyu sasa ni sheria tu ifuate mkondo kama ni kusamehewa inabidi asamehewe na wale...
Hata mje na majani ya maboga na mitarakwa na machozi yenu havisaidii hata wale aliowatenda unyama na kuwabaka ujambazi ubabe na yote mabaya walilia machozi wao, ndugu, jamaa na watu wa karibu yao, Mungu hacheki cheki wala halali mngekwenda ofisini kwa huyu kenge au mngemuita nyumbani kwenu...
Wacha apigike kima huyu alijiona Mungu mtu kwa sababu ya kuzungumza direkt na mdhamini wake hata akienda kubaka mke wa mtu anapiga simu ikulu anasema anatokomeza wapinzani mzee anakiga vigelegele. Vilio vya aliowatenda mabaya na nguvu za Mungu kumpiga chini yule mzee ndiyo vinamfanya awe mrembo...
Spika wa bunge kwa kuongea hadharani kuwa nchi inaingizwa kwenye kukopa kopa kutembeza bakuli kwangu ninaiona kama ina ukakasi sana kufuatia rais Samia kumpinga na kusema tutaendelea kukopa.
Je haya tunayoyasikia kila wakati kuhusu mihimili kuingiliana ndiyo haya yanayotekea leo? Au ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.