Recent content by Nuru2023

  1. N

    JamiiForums Tanzania Waziri wa maji baada kutatua maji yanapotoka unaenda kutembea kuangalia mtaani

    Hizi ndio akili ndogo zinategemewa kupeleka taifa mbele
  2. N

    JamiiForums Tanzania Wanawake duniani mshapoteza bahati kuwa marais

    Sitarajii ubovu kwa mmama wa Namibia, CV yake inajieleza. Ni mtu wa maana. Sio hii karani lafi ya madaraka na madaraka yenyewe hawezi.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wanawake duniani mshapoteza bahati kuwa marais

    Kaangalie mwanamke wa Namibia anafanya nini huko..... Sio wanawake wote ni mashetani na akili sifuri kama hii mbwa
  4. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi Operation Maalum ya Kulinda wananchi wa Libya ilivyoenda

    Wewe ni mbwa na mpumbavu.... unafananisha maisha ya wazawa wa UAE na Tanzania??? China tu hapo hakuna uhuru wala nini, lakini namna wachina wanaishi na namna serikali yao inapambania maisha bora kwa wananchi, unadhani hao wachina wanawaza hata kuandamana???? Wapumbavu kama nyie ndo mtaji wa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia kuwa Mgeni rasmi Mkutano wa umoja wa Mabunge duniani (IPU) jijini Arusha

    Huu ni upumbavu... watu wenye account huko instagram wanashindwa kuflood hizo page zao. Sababu wao kuja kufanya kitu chao hapa ni kusupport uovu
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kuanzia tarehe 6 mpaka tarehe 8 hutaweza kufanya miamala ya TISS, au kwa lugha nyepesi, bank kwenda bank nyingine, Mtandao kwenda mtandao mwingine

    Huyo nae tapeli tu... angekuwa wa maana angefanya kama wale vijana walichomfanya rais wa Tunissia (I stand to be corrected) mpaka akaachia nchi. Same boy who hacked CIA system
  7. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania wamesusia hadi matamasha ya wasanii wa Gospel

    Yani mtu unaenda kwenye tamasha ambalo Mwamposa yupo😅😅😅😅 huwezi kuwa mzima
  8. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Wanaharakati wanalipwa kuchochea vurugu. Juzi kuna kijana amepewa bilioni 5

    Ndo tuliambiwa ukubwa dawa... Halafu kuna wakubwa zero brain kama hii takataka
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kulikoni tena sasa hivi Dada yenu anafokafoka?

    Kawape kalio mabwana zako. Boya wewe
  10. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vikwazo vya umoja wa Ulaya: CCM kuanzisha harambee kwa wafanyabiashara lengo kukusanya bilioni 100 kila mwezi

    Umbwa kweli.... wanaacha kuachana na matumizi yasiyo ya lazima mnaenda kuanza kufilisi wafanyabiashara.. Wachumi wa jalalani
  11. N

    JamiiForums Tanzania Umoja Wa Ulaya kuweka vikwazo vya kusafiri na kufungia account za wale wote wanaohusika na kuvunja haki za binadamu

    Hakitakua kilio cha kudumu... hizi mbuzi na chama chao viaenda kufa mazima, giza hutangulia kabla ya nuru
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kisasa yenye kiini cha rangi ya chungwa (orange)

    Nishakutana nayo haya... ni maajabu. Nway mkoani trei kienyeji 21k tu... Ukiongea na watu vizuri 19500 unapata
Back
Top Bottom