Recent content by nursam

  1. N

    Afisa Tawala na Afisa utumishi ipi nafasi nzuri serikalini?!

    nami nauliza wakuu afisa utumishi na afisa ustawi wa jamii nani ana faida na kazi yake?.
  2. N

    Nimeitwa interview utumishi

    dah hapy wangu wa bwiru nin .ntakupa majibu mazur tafuta no afu nical .utanikuta dar si tumemalzana leo afsa ustaw wa jamii
  3. N

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    dah kwel bwana leo ndo wamepeleka arusha .ni mtoto wa doctor wa chuo kikuu cha dar es salam anaishi chuo mtaa wa kileleni.amesoma sua watoto wa wakubwa wanapata kazi haraka ila mungu naye ndo kamchukua.
  4. N

    Natafuta kazi (Dodoma au Mwanza)

    dah hizi kazi jamani mpaka tunachanganyikiwa.mi mwenyewe natafuta pa kujitolea mungu atatuongoza.
  5. N

    Walimu wanahitajika kwa haraka sana

    mi nipo tayari ila nimesoma sociology naweza kufundisha history na english language.
  6. N

    Teachers‘ Junction

    tuliopo mkoani na tunahitaji hizo nafasi tufanyeje?.
  7. N

    Internship - Arusha

    npo mkuu nimesoma sociology ila degree
  8. N

    Nafasi za kazi-Princess Casino

    mh casino!.dah asanten
  9. N

    Msichana wa kazi Maxmalipo Service

    nipe mim nakaa mabibo hostel
  10. N

    kazi stastionary kwa wadada 2

    tehe tehe tehe mshahara laki moja! dah ona huruma ongeza .
Back
Top Bottom