Nakumbuka mimi nilijaza msiba naenda kuzika kenya na mimi ndo dereva waka nipa ukijaza unaenda kusoma basi lazima uwe na document za kwenda kama mualiko tena ndo utapiga sarakasi za kitosha mana watataka barua picha ya kurasa ya mbele ya passport anaekualika bill za mieza kadhaa permit ya...
Unachanganya kuvaa sare ya jeshi na kuvaa nguo zenye rangi rangi kuvaa kofia au pensi wala suruali bado sio sare ya jeshi mkuu uwezi vaa kofia ya rangi ya jeshi na raia waseme ni mwanajeshi itakua wendawazimu
Watanzania nimegundua kwenye ngumu tunashabikia lkn atujui sheria za ngumu yani kama wadada wengi kwenye mpira nishabiki tu naona mmeanza kuwa marefa bila paper note sijui mmerekodi VP point jmn tusiongelee ushindi kazi ya jaji tuongelee mchezo ndo unaonekana bila kuwa na utaalamu wa ujaji jamaa...
Ufinyo wa maeneo ya wenzetu kwa kufanyia ibada inaoekekea ikitokea maitaji bado utumia pia hizo sehem za barabara Mimi sijaona shida mana hata sisi hua tunatumia piah kwa maandamano ya njia ya msalaba na hakuna makelele Ila tunakuwa na polisi siku hiyo ahahahahaha
Kinachofanywa na serikali yetu uoni kabs drama za pesa inavyochezewa bado unalia na mmarekani utakuwa na matatizo ya akili we nadhani unavaa nguo za kijani mpo kimaslai zaid alafu mnatafuta mchawi nani
Ni yeye atapoteza ajira iPhone awafanyi kazi na China peke yake iPhone 5 imefanyika India kuna Singapore pia na mataifa kadhaa so kazi sio kubwa kutoa kazi kwa mataifa mengine
Acha lifungwe hawa jamaa awajui biashara tuliomba huduma ya internet kwa njia ya fibre cable dah iyo bei taasisi ikaona twende kwa kampuni binafsi na wanapoteza mteja kwa kauli yao bila wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.