Recent content by number41

  1. number41

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Nakumbuka mimi nilijaza msiba naenda kuzika kenya na mimi ndo dereva waka nipa ukijaza unaenda kusoma basi lazima uwe na document za kwenda kama mualiko tena ndo utapiga sarakasi za kitosha mana watataka barua picha ya kurasa ya mbele ya passport anaekualika bill za mieza kadhaa permit ya...
  2. number41

    TRA: Usajili wa TIN kwa mwananchi umri kuanzia miaka 18 siyo kwa ajili ya biashara bali ni kwa utambuzi

    Na sio kitambulisho cha taifa tena tuna ID nyingi na bado azisaidii hata kdg
  3. number41

    Nguo zenye rangi ya Jeshi

    Unachanganya kuvaa sare ya jeshi na kuvaa nguo zenye rangi rangi kuvaa kofia au pensi wala suruali bado sio sare ya jeshi mkuu uwezi vaa kofia ya rangi ya jeshi na raia waseme ni mwanajeshi itakua wendawazimu
  4. number41

    Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

    Bhuji Khalifa rangi ya bendera yetu aikua bure kumbe
  5. number41

    Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

    Mkuu gari INA plate number na inaibiwa icho kiplastic hata kwa mkono kinatoka hapo ni mradi wa MTU waseme tuweke wenyewe
  6. number41

    Ndondi: Bondia Twaha Kiduku ampiga Lago Kiziria kwa pointi

    Watanzania nimegundua kwenye ngumu tunashabikia lkn atujui sheria za ngumu yani kama wadada wengi kwenye mpira nishabiki tu naona mmeanza kuwa marefa bila paper note sijui mmerekodi VP point jmn tusiongelee ushindi kazi ya jaji tuongelee mchezo ndo unaonekana bila kuwa na utaalamu wa ujaji jamaa...
  7. number41

    Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

    Mkuu si kitambo aliwaambie nyie ni wakina Charlie champline wote kasoro baba yake na mzee kikwete
  8. number41

    How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

    Dah ujumbe wa ahadi toka mbinguni ahshaha
  9. number41

    Je, ni sahihi kwa waislamu kufunga barabara kisa wanaswali?

    Ufinyo wa maeneo ya wenzetu kwa kufanyia ibada inaoekekea ikitokea maitaji bado utumia pia hizo sehem za barabara Mimi sijaona shida mana hata sisi hua tunatumia piah kwa maandamano ya njia ya msalaba na hakuna makelele Ila tunakuwa na polisi siku hiyo ahahahahaha
  10. number41

    Miaka 2 ya Rais Samia, hakuna barabara mpya iliyojengwa

    Pesa si umeambiwa iko China kwa bank kuu yetu ilikua China nn
  11. number41

    Nini kinafanya Marekani kuwa imara?

    Kinachofanywa na serikali yetu uoni kabs drama za pesa inavyochezewa bado unalia na mmarekani utakuwa na matatizo ya akili we nadhani unavaa nguo za kijani mpo kimaslai zaid alafu mnatafuta mchawi nani
  12. number41

    Hivi kuna watumiaji wa simu wanaopata raha ya display zaidi ya sisi tunaotumia Infinity display ya Samsung?

    Ni yeye atapoteza ajira iPhone awafanyi kazi na China peke yake iPhone 5 imefanyika India kuna Singapore pia na mataifa kadhaa so kazi sio kubwa kutoa kazi kwa mataifa mengine
  13. number41

    Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

    Acha lifungwe hawa jamaa awajui biashara tuliomba huduma ya internet kwa njia ya fibre cable dah iyo bei taasisi ikaona twende kwa kampuni binafsi na wanapoteza mteja kwa kauli yao bila wasiwasi
  14. number41

    Mavazi ya Kiongozi Mkuu wa Wasabato Duniani yamenikwaza nahamia dini nyingine

    mbona wapemba wanavaa misuli na kanzu nao mashoga tena na wengine wanaenda nayo msikitini acheni tamaduni za watu
  15. number41

    Mavazi ya Kiongozi Mkuu wa Wasabato Duniani yamenikwaza nahamia dini nyingine

    Shekhe mkuu nimemuandalia vazi aje uku karibu sana au nikutafutie msuli
Back
Top Bottom