Recent content by number41

  1. number41

    Kununua ardhi halafu huna pesa ya kujenga ni ujinga, Bora hiyo hela ufanyie biashara

    Iyo biashara utazani amna hasara kufirisika sio kila unae muona anafanya biashara na kafanikiwa ajawahi pata hasara biashara inachangamoto zake jamani sio jambo dogo kununua kiwanja hajakosea labda ungesema anataka kujenga jengo kubwa la kuishi hapo amezika hela bora biashara lkn kiwanja tena...
  2. number41

    Serikali yakamilisha upembuzi wa reli ya SGR Mtwara–Bamba Bay

    Mradi wa bongo aifatagi watu ila watu ndo tunafata mradi kwel hela kwa hela hapo mjenzi mchina na mchimbaji atakua mchina na mteja ni mchina na atapanga bei lkn mkataba utakua wa miaka mia kwa malipo ya mradi na mia kwa uwekezaji yani tunamaliza deni na mradi umekufa chuma kimeondoka chote...
  3. number41

    El Salvador yakamata tani 6.6 za cocaine, meli iliyobeba unga ina bendera ya Tanzania!

    Tusifueahie watakuja na kodi mpya kwa hasira ya kupoteza mzigo hadi hela yao irudi
  4. number41

    El Salvador yakamata tani 6.6 za cocaine, meli iliyobeba unga ina bendera ya Tanzania!

    Sasa tumeona hela za kuhonga wenzetu wanatoa wp eti mtu anakaa ghorofa ya kupanga lakini ana honga gari ya mil 400 tena mbili na biashara yake sinza😅😅😅
  5. number41

    PostGE2025 Sheikh Kipozeo: Haki haiwezi kupatikana bila ya Amani

    Ahahahaha ukisoma kwa utulivu ulichoandika dah utajidharau sana mkuu
  6. number41

    KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    Mkuu hata mkoloni aliambiwa kuwa watumwa tunateseka sana hakusikia ndo mana tulipiginia uhuru mkuu mpinzani kusema agenda bila matokeo uwezi kumuelewa na wanabezwa sana na kuitwa awapendi maendeleo so njia ni kuondoa mfumo usio sikia kwa njia nje ya box
  7. number41

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Nakumbuka mimi nilijaza msiba naenda kuzika kenya na mimi ndo dereva waka nipa ukijaza unaenda kusoma basi lazima uwe na document za kwenda kama mualiko tena ndo utapiga sarakasi za kitosha mana watataka barua picha ya kurasa ya mbele ya passport anaekualika bill za mieza kadhaa permit ya...
  8. number41

    TRA: Usajili wa TIN kwa mwananchi umri kuanzia miaka 18 siyo kwa ajili ya biashara bali ni kwa utambuzi

    Na sio kitambulisho cha taifa tena tuna ID nyingi na bado azisaidii hata kdg
  9. number41

    Nguo zenye rangi ya Jeshi

    Unachanganya kuvaa sare ya jeshi na kuvaa nguo zenye rangi rangi kuvaa kofia au pensi wala suruali bado sio sare ya jeshi mkuu uwezi vaa kofia ya rangi ya jeshi na raia waseme ni mwanajeshi itakua wendawazimu
  10. number41

    Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

    Bhuji Khalifa rangi ya bendera yetu aikua bure kumbe
  11. number41

    Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

    Mkuu gari INA plate number na inaibiwa icho kiplastic hata kwa mkono kinatoka hapo ni mradi wa MTU waseme tuweke wenyewe
  12. number41

    Ndondi: Bondia Twaha Kiduku ampiga Lago Kiziria kwa pointi

    Watanzania nimegundua kwenye ngumu tunashabikia lkn atujui sheria za ngumu yani kama wadada wengi kwenye mpira nishabiki tu naona mmeanza kuwa marefa bila paper note sijui mmerekodi VP point jmn tusiongelee ushindi kazi ya jaji tuongelee mchezo ndo unaonekana bila kuwa na utaalamu wa ujaji jamaa...
  13. number41

    Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

    Mkuu si kitambo aliwaambie nyie ni wakina Charlie champline wote kasoro baba yake na mzee kikwete
  14. number41

    How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

    Dah ujumbe wa ahadi toka mbinguni ahshaha
Back
Top Bottom