Habari wanajukwaa.
Kwa mujibu wa muongozo wa serikali wa uhamisho wa kawaida kwa watumishi wa serikali ni kwamba mamlaka yoyote inayotaka kuhamisha mtumishi ni lazima ijiridhishe kwanza ina fungu la kulipa ndio ihamishe.
Hii ilikuja baada ya watumishi wengi kuwa wanahamishwa na kubaki kudai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.