Duh! Ila hii gvnt yangu cjui nitaiamini lini na kwa lipi asee.... yan tamko linatolewa af jamaa wanapiga kazi kama kawaida tena bila uoga wwte. Watu waliamin tar 28 ni ijumaa bac j'3 ndo yaliyokua yakisemwa na kujinadi kwny media na hawa viongozi wetu yangetimizwa bt hola. Cjui ndo niamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.