Recent content by Ntovye

  1. Ntovye

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Kwani tukisema roho tunamabisha nn haswa?? Je roho na nafsi tofauti yake Ni Nini??
  2. Ntovye

    Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

    Tujadili kweli. Katika kujadili kwa kutumia logic, kweli Kuna Mambo ya juu ya shujaa huyo yanaleta mkanganyiko. Kuna Mambo unaweza shindwa kuyaelewa kwa haraka haraka. Hoja hizi ndio zinaibua mjadala katika kuelewa ukweli wa Jambo hili la shujaa anayetajwa.
  3. Ntovye

    Rais Samia kwanini nawe nakuomba usiyaamini Matokeo ya Jana ya Kidato cha Sita ya nchi nzima?

    Ita mwanafunzi yeyote, muulize maswali madogo madogo Kama Yale ya Tasker challenge ya chemsha bongo uone., Basic understanding yake..utakubaliana na mm hicho anachosema Gentemycine
  4. Ntovye

    Siku ya Mwisho wa Dunia itakuwaje kwa watakaokua Mars?

    Mkuu, hata watakaokuwa Mars, Kuna mda watarudi on the Earth kutafuta chakula, kwakuwa akiba ya chakula itatosha kwa mda tu. Ujue Mars Kuna viwezesha uhai baadhi haipatikani na hivyo watatumia vya mda. Mda Ukifika watkuta Dunia haipo, na wata perish wote! Yeye mwenyewe (Yesu), anasema,; amini...
  5. Ntovye

    Serikali isiwalipe posho waliokuwa wakimsafirisha kwa gari mtoto mahututi toka Kigoma kwenda Dar es Salaam

    Hiyo ndege ya kukodi Nani angelipa mkuu? Au wewe umefika Jana hapa nchini ikitokea ugaibuni? Hiyo kitete hospital, inaizidi hadhi Maweni? Hujui zote Ni hospital za Rufaa za mikoa? Haya pale Benjamin mkapa, unadhani wanatibu bure? Ile hospital mkuu Kama hujui siyo ya makabwela. VIP tu vinaendda...
  6. Ntovye

    Wasichana wa kazi wa Malawi wateka nafasi za kazi za ndani Tanzania

    Mkuu unaonaje ungekaa ukatulia ukaandika habari inayoeleweka? Hao wasichana wamejaa wapi? Songea, Mbeya, Iringa, Arusha au wapi? Bahati mbaya unasema Tanzania, mbona mm huku nakoishi sijawaona? Au Tanzania kwa ulewa wako Ni wapi? Mwanza, Dodoma kote huko sijawaona!
  7. Ntovye

    Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

    Bro. Hakunaga pisi Kali Bali uzuri Ni mind set yako unayoitengeneza mwenyewe. Mwisho wa siku mashine Ni Ile Ile, zinatofautiana maji tu.
  8. Ntovye

    Dr Aggrey, Mghana mahiri aliyeacha historia Tanzania hadi kupewa mtaa jijini Dar es Salaam

    Sasa kwanini alizikwa Marekani, si angeishi Africa akarndelea ku emancipate waafrika??
  9. Ntovye

    Polisi mkoani Dodoma wapiga marufuku wanawake kupanda boda boda kwa kujibinua

    Lakini mwandishi, nadhani ungesema mjini au jijini Dodoma kuliko kusema mkoani Dodoma. Mkoa Ni kitu kikubwa na kinajumuisha wilaya zote
  10. Ntovye

    Ni wakati wa Wabongo kuacha malezi ya kijinga kwa watoto, tunalipeleka wapi taifa?

    Sasa si umesema uswazi? Uswazi ndio Mambo yao hayo sababu maisha ya kule kwanza Ni changamoto. Kimsingi Kama unajitambua so vizuri kuishi na kulelea mtoto huko, kwasababu hautakuwa na maadili mema. Ni vizuri kutafuta maeneo ya kuishi hata Kama Pato linaleta shida. Sasa uswazi maishi hususani...
  11. Ntovye

    Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

    Nadhani, mnalumbana bure. Lakini ukweli ni kwamba, wengi wao hasa correspondences, elimu zao ni ndogo. Wamemaliza kidato cha nne na pengine kwenda chuoni kusoma certificate ama education au journalism. Wengi wamepata on job short seminars kujua tu basics ya uandishi wa Mambo ya kijamii. Hawawezi...
  12. Ntovye

    Naomba siku nikifa nizikwe kino badala ya Bukoba

    P.o. box hautoshi mkuu, aweke na anwani ya makazi, yaani street na plot no kabisa[emoji1787]
  13. Ntovye

    Royal tour tungetumia watu Maarufu duniani ila sio rais Samia

    Hao wote uliowataja, binafsi namjua Beckam tu. Yawezekana Ni maarufu lakini sidhani Kama popular kwa kila mtu. The very popular kwa kila mtu, Ni Jesus Christ tu, hao wengine hata wangetumiwa bado Hakuna ambaye angeshituka Sana.
  14. Ntovye

    Jamaaa kashaona bora ajiite mwanamke tu

    Bro. Mbona Kama umemaind Sana hii?
  15. Ntovye

    Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

    Hata hivyo, pia Ni lazima uende na evidences, kwamba unashida na Kodi na kwamba wewe Ni mwanafunzi, eg barua toka serikali ya mtaa unapokaa wewe. Vinginevyo watu hawasaidii kwakuwa matapeli Ni wengi.
Back
Top Bottom