Ahsante sana kaka.
Ila kwa sasa naishi eneo lingine ambako ni zaidi ya mikoa mitano toka niliko kuwa naishi awali na kama nilivyosema sijui aliko huyo mwana mama.
Nyongeza ya maelezo yangu ni kuwa hatukubahatika kupata mtoto wala mali za pamoja..
Naomba ufafanyzi pia hapo
Asalam aleykum
Bwana Yesu asifiwe.
Mambo vipi wakurungwa.
Mie ni mkristo nina miaka 35 sasa nina miaka 7 iliyopita kwa ndoa ya kikristo, baada ya miaka mitatu tukashindwana na mke wangu na kila mtu akachukua 50.
Yapata miaka mitatu mingine sasa kila mtu ana maisha yake na sasa nahitaji kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.