Recent content by NTINGINYA

  1. NTINGINYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanaume watu wazima tu!!!

    Mfunga tai Wewe ni mtu mzima na hapa utapata pressure ya bure utambiwa kila aina ya ushuri huu sio ukweli unaoambiwa hapa tumia akili na muamini shemeji huko aliko na pili naomba uchukuwe ushauri unao kuridhisha mimi naenda mwezi wa nne sasa na sina kinacho nisumbua ukifatilia sana shauri...
  2. NTINGINYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanaume watu wazima tu!!!

    Mkuu kama hujaharibu natoa pongezi sana kwa uamuzi wako ni wachache wenye moyo huo tatizo lako ni dogo sana wewe huwa unalala kibudu. Namaanisha kuwa wewe ukilala huwa huna maombi fanya maombi mpaka utakapo pitiwa na usingizi hali hiyo itatoweka shetani huwa ankuchezea. Mimi mkuu nafanya kazi...
  3. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Tanzania's own spy

    Nyakageni Hizi nchi Drc Rwand Na Uganda zote zina internal problem ndiomana wliandaliwa hawa jamaa ili kudhibiti hayo matatizo leongo la mwalim ilikuwa kuweka sawa nchi za jirani tatizo hawajamaa waliopewa zamana hiyo wamegeuka na kuangalia maslah yao binafsi badala yakwenda kutoa ukabila na...
  4. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Tanzania's own spy

    Wewe acha unafiki wakijinga wewe mtusi unajifanya et uhusika wetu kwenda kigali ukaonje jotonya jiwe huko. Tanzania ni nchi iliyokuwa na mkakati wa ukombozi wa bara la Africa ndomana sehemkubwa ya Africa walisaidiwa kimafunzo na kijeshi ilinkuzikomboa nchi na sio ukoloni mambonleo kama hujui hilo
  5. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Jaribu kumuweka nyuki mdomoni mwako kisha uje hapa unipe feedback

    Asante mkuu nikuelewa nashkuru sana
  6. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Jaribu kumuweka nyuki mdomoni mwako kisha uje hapa unipe feedback

    Mzizimkavu asee hii sijaelewa kitu hapo tunaomaba utufadanulie wengine darasa letu dogo tupe tafsiri kiswahili
  7. NTINGINYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sony xperia m, mfano wa kuigwa kwa simu za bei ndogo

    Mkuu tusamehe kama tutakuwa tumelitumia vibaya lakini sioni kama kumuombea baraka mtu ni kosa kama ni makosa tunaomba utfahamishe ubaya wake na utfundishe tulitakiwa kumuombeaje
  8. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Itifaki tuelimisheni: JK kupokelewa na Meya wa Jiji Salzburg Austria

    Ujinga ulionao wewe handsome siufikii hata kwa robo thelus utabakia hivyohivyo
  9. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Itifaki tuelimisheni: JK kupokelewa na Meya wa Jiji Salzburg Austria

    Hivi nyie watu mmerogwa au ni upofu mlionao japokuwa mnamacho lakini hayaoni. safari za rais ndizo zinazoleta manufaa mengi nchini na sio raisi wetu pekee anasafiri kila mara kama huwa unatizama matukio duniani hebu jaribu kuangalia kiongozi wa juu kabisa wa marekani bwa ambae Secretary general...
  10. NTINGINYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alininyima Kwa Muda Mrefu, baada ya kunipa nimeamua ku...!

    Doh naomba uniwie radhi Hivi wewe inaumri gani na uanaumewako upo wapi nilizani unaomba ushari wa tatizo alilo nalo kumbe ni ufinyu wa akiliyako na kukosa busara hata ubinadam huna wewe naweza kusema huna hadhi yakuitwa mwanaume aliye kamilika mwanaume aliyekamilika hawezi kujahapa na kutaka...
  11. NTINGINYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sony xperia m, mfano wa kuigwa kwa simu za bei ndogo

    Mkuu nimeona hawajamaa Sony wanatangaza xperia waterprof imewekwa kwenye beseni inamwgiwa maji tunaomba utupe speciation ya hiyo mkuu hatuna tulijualo kiundani kiongozi Ubarikiwe sana mkuu
  12. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Lengo la kagame na mseveni ni moja kwa tanzania.

    Wajaribu waone motowake yena mnatupandisha mzuka itakuwa safi kabisa tutaweka rais tumtakae na himaya kubwa ya ulinzi kwa maslahi yetu. Watuts wanjidangaya sana kuona JW limekaa kimya kimya hee waulizeni makaburu watawap ishu zetu
  13. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Role model wangu

    Ubarikiwe sana Kamanda atakuwa amekusoma
  14. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Role model wangu

    Asee kwa heshima ya huyomkuu unanatakiwa umtaketadhi kwa matamshiyako binafsi sijapendezewa na umenikwaza kumuiya (hilo mtu)
  15. NTINGINYA

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Role model wangu

    Mkuu huyo wajuu umekosea kmleta huku kwakuwa ni mchafuzi wa mazinhira tu natoa shukranzanhu kwa kamandawetu mwenyesuti namuombea kwa munhu maisha marefu na afianjema ili azidishe ufanisi
Back
Top Bottom